nec

NEC Corporation (日本電気株式会社, Nippon Denki Kabushiki-gaisha) is a Japanese multinational information technology and electronics company, headquartered in Minato, Tokyo. The company was known as the Nippon Electric Company, Limited, before rebranding in 1983 as NEC. It provides IT and network solutions, including cloud computing, AI, IoT platform, and 5G network, to business enterprises, communications services providers and to government agencies, and has also been the biggest PC vendor in Japan since the 1980s, when it launched the PC-8000 series.
NEC was the world's fourth largest PC manufacturer by 1990. Its semiconductors business unit was the world's largest semiconductor company by annual revenue from 1985 to 1992, the second largest in 1995, one of the top three in 2000, and one of the top 10 in 2006. NEC spun off its semiconductor business to Renesas Electronics and Elpida Memory. Once a Japan's major electronics company, NEC has largely withdrawn from manufacturing since the beginning of the 21st century.
NEC was #463 on the 2017 Fortune 500 list. NEC is a member of the Sumitomo Group.

View More On Wikipedia.org
  1. Just Pray

    GE2025 Ummy Mwalimu: Nimepokea uamuzi wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kwa moyo wa shukrani

    Na Ummy Mwalimu kutoka kwenye ukurasa wake mtandao wa Instagram Alhamdulillah ala kulli hal. Nimepokea uamuzi wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kwa moyo wa shukrani. Quran Tukufu inatufundisha kuwa Allah ndie mpangaji na alipangalo ni bora kwetu. ALHAMDULILLAH. ---- Ndugu zangu wanaTanga...
  2. Liverpool VPN

    GE2025 Hivi kura za maoni za Wajumbe zinamaana gani ikiwa NEC ndio waamuzi wa uteuzi wa wagombea??

    Tulishuhudia kwa Magufuli 2020 Walioshinda kura za maoni hawakuteuliwa, wakaja kuteuliwa mpaka walioshika nafasi ya tano..!!! Imefika 2025, Samia nae hivyohivyo, Wagombea walioshinda wamekatwa. Kwa utafiti wangu mdogo ni wabunge 10 ambao walishinda kwenye kura za maoni ila wamechaguliwa...
  3. R

    GE2025 Aliyekuwa Mkurugenzi wa NEC apitishwa na CCM kugombea Ubunge

    Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi ( CCM) Taifa imempitisha aliyekua Mkurugenzi wa Tume huru ya Uchaguzi Tanzania (NEC), Dkt. Wilson Mahera Charles kiwa Mgombea ubunge katika Jimbo la Butiama. Soma pia GE2025 - Aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi, Tume ya Taifa ya Uchaguzi kipindi cha...
  4. The Burning Spear

    Hivi ndivyo INEC wananavyoweza kuchakachua kura kupitia NIDA

    Imeandikwa na Dr Calipso, X HII INAFANYIKAJE . Kwenye mfumo kuna kitu kinaitwa query, unaicommand query in run ikuvutie taarifa Fulani muhimu then unaweza kuzi intergrate na mifumo mingine wataalamu wa CTC2 Database inayo inayotunza taarifa za Ukimwi mnaelewa. Mfano waliojiandikisha kihalali...
  5. R

    Uchambuzi wa AI wa kisheria kuhusu kimachosemwa kuwa ushirikiano kati ya NIDA, INEC na CCM

    Kumekuwa na tuhuma zinazodai kuwa mfumo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) umeunganishwa au unashirikishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) pamoja na Chama cha Mapinduzi (CCM), kwa nia inayotazamwa/hisiwa kuwa ovu na inayokiuka haki za faragha na usawa wa kisiasa. Uhalali wa jambo...
  6. The Burning Spear

    Mamalaka kumjibu polepole kwa sasa ni sawa na kuzima moto kwa mafuta ya taa haya sasa NEC Jibuni na hili

    GT Sitaandika sana sikilizeni wenyewe
  7. Griss

    Modestus Kapilimba Former DGIS na (IT) ndiye aliunganisha NIDA, NEC na CCM?

    Mwaka 2015 alikuwa mfanyakazi BOT Alitolewa BOT kwa taarifa kwamba anaende likizo. Mwaka huo huo 2015 akaibukia NEC akafanya aliyoyafanya. Baada tu ya Magufuli kuingia Ikulu aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa NIDA. Badae akateuliwa kuwa mkurugenzi wa TISS. Mpaka anaondoka TISS ilikuwa mshike...
  8. K

    Kama ni kweli Wizi wa kura kupitia NIDA na NEC ulifanyika basi sio wanamtandao

    Kwa kumbukumbu zangu, zoezi la kuandikisha NIDA lilianza mwezi Septemba 2015, wakati Rais Jakaya Kikwete anamaliza muda wake na Rais John Magufuli pamoja na Polepole, Kakurwa na wazalendo wengine wakiingia Ikulu. Hata hivyo, matumizi makubwa ya mfumo huu yalianza zaidi katika kipindi cha...
  9. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kumekucha! CCM yaitisha mkutano mkuu wa dharura kwa njia ya mtandao

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuitisha Mkutano Mkuu Maalum wa Taifa utakaofanyika kwa njia ya mtandao siku ya Jumamosi, Julai 26, 2025 kuanzia saa 2:00 asubuhi. Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo vyetu vya kuaminika ndani ya CCM, tangazo hilo lililotolewa na Katibu wa Halmashauri Kuu...
  10. R

    PreGE2025 NEC yazindua mafunzo kwa Waratibu, Waandishi wasaidizi na Waendesha vifaa vya Bayometriki Zanzibar Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura

    Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Mstaafu, Mbarouk Salim Mbarouk amefungua mafunzo kwa Waratibu, Waandishi Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki wa Vyuo vya Mafunzo kuhusu uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Kisiwani Unguja, Zanzibar leo...
  11. M

    Nia Ya CCM Katiba iliyopo na NEC Mbovu ni kutawala milele, watoto wao na vitukuu viendelee kuongoza nchi, na kula pesa, hakuna uzalendo

    Natoa hoja nyepesi , lakini kama kuna ukweli juu ya hoja hizi. Nimekaa nimejiuliza nini mantiki ya CCM kuwa na katiba mbovu na utaratibu ,mbovu wa Uchaguzi, je toka wamekabidhiwa nchi na wakoloni inamaana ni kama walipewa hii nchi milele, na kwamba Nchii hii ni mali ya chama cha CCM na Familia...
  12. M

    Je! Rais Samia anapambana peke yake ndani ya CCM? Kitendo cha yeye kutoa hukumu kama M/kiti juu ya Gwajima, hakuashirii jambo hili?

    Kitendo cha Rais Samia kulibeba suala la Gwajima yeye kama yeye bila ya kuwa sehemu ya agenda kamili ya mkutano mkuu wa ccm wa juzi na na jana, kuna leta maswali mengi juu ya uungwaji mkono ndani ya chama chake Kwa kiswahili kisicho sawa, hapa mwenyekiti alitumia kiti chake kumhukumu Gwajima...
  13. D

    Mwana FA unapochukizwa na waamuzi CAF na kupendekeza wawe wanateua tu Bingwa, vipi nyie wabunge na madiwani au Rais? NEC si iwateue tu

    Mwana FA unapochukizwa na waamuzi CAF na kupendekeza wawe wanateua tu Bingwa, vipi nyie wabunge na madiwani au Rais? NEC si iwateue tu. Tungeokoa pesa na vifo vya wapinzani.
  14. T

    Natabiri uwenda mtu akazuiwa kuingia vikao vya NEC au kuondolewa NEC

    Kwa hali ya upepo na yale nayaona kuna kila dalili NEC ika kaa huku ikumuenguwa MNEC mmoja japo itakuwa kasheshe sana let pray for Nation kaz ni nzito sana.
  15. Manyanza

    Majibu ya CHATGPT : Kwanini Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inaipendelea CCM na kukihujumu CHADEMA?

    Swali lako linaelekea kwenye mada nyeti ya kisiasa nchini Tanzania, na linahitaji kutazamwa kwa umakini, kwa kuzingatia ukweli, muktadha wa kihistoria, na mitazamo tofauti. Kwa nini watu wengine wanasema Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inaipendelea CCM na kukihujumu CHADEMA? Hapa kuna sababu...
  16. T

    Kiungwana serikali na CCM na NEC wanapaswa kuwaomba radhi wananchi kwa kuchafua chaguzi za 2019, 2020, 2024. Kwa kuwa shahidi zipo

    Kama serikali yetu ingekuwa na chembe ya uungwana ilitakiwa itoke na kuomba radhi kwa madhila yaliyotokea kwenye zilizoitwa chaguzi katika miaka tajwa hapo juu. Na kwa ushahidi huo ilipaswa CCM Ione aibu ya kujisifia uongo kwamba wanashinda kwa kishindo badala yake walipaswa kufanya juu chini...
  17. W

    PreGE2025 Katibu kamati maalum NEC Zanzibar, ahoji kama tatizo tume, mbona 2015 walipata majimbo?

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeutaka upinzani kutozibeza Tume za Uchaguzi, INEC na ZEC, na kudai si huru wakati Chadema na ACT Wazalendo vimekuwa vikiongeza idadi ya viti vya Udiwani, Uwakilishi, Ubunge na kupata kura nyingi za urais. CCM kimesema Tume hizo ziko huru na zinatenda haki...
  18. Alloyce PR

    Akili kumkichwa: Uchaguzi mkuu wa mwaka 2025

    Uchambuzi wa Kikatiba chini ya Ibara ya 74(11) na (12) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 Utangulizi Demokrasia ya kweli hujengwa juu ya misingi ya kuheshimu Katiba, taasisi, na sheria. Katika muktadha wa maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, kuna umuhimu mkubwa wa kufanya...
  19. Poppy Hatonn

    Leo Lissu atapelekwa NEC kusaini au NEC itakwends Keko?

    Kama Lissu akikubali kusaini, utaratibu gani utatumika? NEC itakwenda Keko au jambo gani litatokea? Na kama Lissu akikataa kusaini kutakuwa na ramifications gani? Athari gani? Na athari za ziada? Kama Lissu akikubali kusaini itatokea mitigation katika mashtaka yanayomkabili?
  20. Chakaza

    CCM Mbona Mnafeli? Majibu ya NO REFORMS NO ELECTION Yanapaswa Kutolewa na NEC au Serikali na Sio CCM Maana Nanyi Ni Washindani!

    Ni wazi Makalla na yule Babu Wassira pengine hawajui kuwa CCM ni washiriki wa uchaguzi kama ilivyo Chadema, ACT, CUF nk au bado wao ni OLD FASHIONED kiasi cha kushindwa kutofautisha CCM chama na Serikali katika utendaji. Chadema wao wanapanbana na Tume ya uchaguzi na Wizara ya sheria/mambo ya...
Back
Top Bottom