Habari? Je, Kuna uwezekano mchumba yuko Tanzania na mchumba mwingine yuko japan halafu mchumba aliye Tanzania na na wadhamini wake na WAZAZI wa pande mbili wakaenda kwa ofisi ya DC na wakafanya ndoa kutumia online platform zoom su google meet mbele ya bwana harusi na mpambe wake?vyeti vikatumwa...
Naomba kujua utaratibu wa kufunga ndoa ya Kiserikali
Nahitaji kuwa na nini na nini maana mwanamke ninaye. Lengo kuu ni kutaka kufanya mambo mengine nikiwa na huyu mwanamke maana Kuna vitu nashindwa kumkamilishia mpaka awe ndani ya ndoa ya serikali.
Na njia gani naweza kutumia Ili nifanikishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.