nchi yangu tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    "..Nayafakari sana Kuusiana na miungurumo hii ninayoisikia kuelekea OCTOBER 29"

    Heloo jf Nimeamka leo hii nikajikuta nikiwa katika hali ya tafakari sana!🤔🤔🤔🧐 Nimejikuta natafakari matokeo ya vita vya Kongo!🤔 Nikitafakari pia vita vya Rwanda!😤 Nikitafakari vita vya urusi na ukrein!🤯 Nikitafakari vita vya israeli na palestini!🥵 Mwisho nimejikuta nazama zaidi kuitafakari nchi...
  2. Pascal Mayalla

    GE2025 Masikini Nchi Yangu, Tanzania, Tunakosa Viongozi Wazuri kwa Dhulma!. Waliokatwa kwa Zengwe, Wangegombea as Independent, Wangeshinda!.

    Wanabodi, Kwa political dynamics ya siasa zetu, mtu ukiishapitishwa na CCM, wewe ndio Mbunge!, uchaguzi ni process ya kukamilisha tuu taratibu za kikatiba kuhalalisha!. Nimeyaona majina ya wagombea walioteuliwa na chama, miongoni mwao kuna the best, the good, the bad and the ugly as well as...
  3. smttz

    NCHI YANGU TANZANIA

    Kama taifa tunaelekea....!!!! Kila kitu ni hovyo tu...ukisikiliza maneno yao unasema yes! Watu ndio hawa, ili ukweli ni hovyo hovyo
  4. incredible mimi

    Nauchukia Utanzania wangu

    Sijawahi kujivunia Utanzania Wangu Nakumbuka nyimbo za shule za kipindi kile tulizokuwa tukiimba kwa furaha na bashasha. Tukiwa tumevalia uzi mweupe na bukta za blue, tuliimba “Mungu ibariki Tanzania” na “Tazama ramani utaona nchi nzuri” kwakweli tuliimba kwa bashasha kweli kweli. Na kwa...
Back
Top Bottom