nato

The North Atlantic Treaty Organization (NATO, ; French: Organisation du traité de l'Atlantique nord, OTAN), also called the North Atlantic Alliance, is an intergovernmental military alliance between 30 European and North American countries. The organization implements the North Atlantic Treaty that was signed on 4 April 1949. NATO constitutes a system of collective defence whereby its independent member states agree to mutual defence in response to an attack by any external party. NATO's Headquarters are located in Evere, Brussels, Belgium, while the headquarters of Allied Command Operations is near Mons, Belgium.
Since its founding, the admission of new member states has increased the alliance from the original 12 countries to 30. The most recent member state to be added to NATO was North Macedonia on 27 March 2020. NATO currently recognizes Bosnia and Herzegovina, Georgia, and Ukraine as aspiring members. An additional 20 countries participate in NATO's Partnership for Peace program, with 15 other countries involved in institutionalized dialogue programs. The combined military spending of all NATO members constitutes over 70% of the global total. Members agreed that their aim is to reach or maintain the target defense spending of at least 2% of GDP by 2024.

View More On Wikipedia.org
  1. MK254

    JamiiForums Tanzania Uingereza na Ujerumani waifukuzia mbali ndege ya Urusi iliyojaribu kupaa Estonia, kataifa ndani ya NATO

    Ndege ya kivita ya Urusi ilijaribu kutumia anga ya Estonia kupokea mafuta angani, hiyo ni baada ya kusahau hako kataifa ka Estoni kako ndani ya NATO, ghafla ndege za Ujerumani na Uingereza zikaibuka na kuifukuzia mbali.... ======================== UK and German military aircraft have...
  2. kimsboy

    JamiiForums Tanzania Kiev: Makombora ya Urusi yalivyowateketeza mamia ya maafisa wa NATO na Marekani

    MAOFISA WA NATO NA MAREKANI WAUAWA NA URUSI MJINI KIEV NCHINI UKRAINE Mashambulizi ya ndege za anga za Urusi yaliyofanywa tarehe 09/03/2023 yaliweza kuvunja mahandaki mjini Kiev kwa makombora mapya. Katika uvunjwaji wa mahandaki hayo, kulikuwa na maofisa wakuu wa Marekani pamoja na maofisa wa...
  3. HERY HERNHO

    JamiiForums Tanzania Biden akutana na viongozi wa NATO wa Mashariki mwa Ulaya

    Rais wa Marekani Joe Biden amekutana na viongozi wa nchi za upande wa mashariki mwa Ulaya, ambao ni wanachama wa jumuiya ya Kujihami ya NATO. Kwenye mkutano huo wa Jumatano huko Warsaw Poland, Biden alikariri kujitolea kwa nchi yake kuhakikisha usalama wa washirika wake wa mashariki mwa Ulaya...
  4. Webabu

    JamiiForums Tanzania NATO wasema wanafukuzana na wakati kuiwahi Urusi

    Kauli za mataifa yanayounda umoja wa NATO kwa sasa zinatia huruma.Unaweza ukaona hilo katika matamshi ya kiongozi wa umoja huo General Jens Stoltenberg aliposema mataifa hayo yanakimbia na wakati ili kuiwahi Urusi kabla haijakazia katika mashambulio yao makubwa dhidi ya mwenzao Ukraine...
  5. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Zelensky anawavuruga na wanavurugika kwelikweli NATO

    Huyu ameamua kuachia madaraka German defense minister to resign – media Christine Lambrecht – who has received many “special impressions” from the Ukraine conflict – is reportedly ready to quit FILE PHOTO: German Defense Minister Christine Lambrecht © Global Look Press / www.imago-images.de...
  6. Sigonella Island

    JamiiForums Tanzania Urusi inatisha. Mpaka sasa Ukraine na NATO wanapigana na kampuni binafsi ya Kijeshi bado Urusi haijaingia vitani

    Katika kile kinachoonekana ni ukomavu na uwezo mkubwa Kijeshi wa Shirikisho la Russia imepelekea mataifa ya magharibi kuunda shirika la kujihami (NATO) dhidi ya Russia na mataifa mengine yenye nguvu kubwa kama China. Kutokana na sera za Russia kutokuingilia siasa za mataifa mengine West kwa...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Je, Ukraine inapoteza vita? Nchi za NATO zinavuja damu? Tutarajie Shambulio kubwa jipya kutoka kwa Warusi?

    Marekani, Ufaransa na Ujerumani ziliamua kutuma kifurushi kingine cha silaha nchini Ukraine. Tusichukulie sentensi hili kirahisi maana wakati huu tunaweza kuzungumzia kuanzishwa kwa mifumo ya kubadilisha mchezo(game-changing systems). magari 50 ya mapigano ya Bradley yaliyotengenezwa...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hii biashara imekaaje: Ukraine kuuza damu ya raia wake ili kupata silaha zitakazosaidia kufikia malengo ya NATO dhidi ya Urusi!

    Si siri tena wala siyo madai ya urusi tena, bali ndivyo biashara yenyewe ilivyo. NATO ina malengo yake ya kuidhoofisha urusi, ukraine ikajitokeza na kusema sisi tutatimiza jukumu hilo, tunachohitaji ni kutupatia silaha kwa ajili ya damu ya raia wa ukraine wanayoimwaga ili kufikia malengo ya...
  9. Raphael Thedomiri

    JamiiForums Tanzania Hatua mpya za NATO dhidi ya Urusi

    Mtazamo mpya wa NATO ni kwamba, ili amani irejee katika huu mzozo, ni lazima Putin akatishwe tamaa kabisa kwamba hataweza kuidhibiti Ukraine kabisa, kwa kumuongezea Ukraine msaada zaidi wa silaha. Katibu wa NATO anaamini hiyo ndio njia bora ya kumshawishi Putin aone anachokihitaji ni kama mlima...
  10. MK254

    JamiiForums Tanzania Tuliwaambia kugusa NATO ni kufuru, Urusi ajitetea sana hakuhusika na shambulizi la Poland

    Kila siku humu pro-Russia wanasema Urusi anapigana na mataifa ya NATO, tumekua tukijibu kwa kuwaambia siku moja ateleze aguse hata kakijiji ka taifa ndani ya NATO ndio mje mseme, sasa kuna kombora limepiga shambani kwenye mpaka wa Poland na kuua watu wawili, Urusi wamekimbilia kukatalia mbali...
  11. Sigonella Island

    JamiiForums Tanzania Makombora ya Urusi yaua wawili Poland

    Russia imerusha kombora na kutua Poland Two people died Tuesday afternoon after a projectile struck an area where grain was drying in Przewodów, a Polish village near the border with Ukraine, domestic media reported. Polish Prime Minister Mateusz Morawiecki has called an emergency meeting of...
  12. MK254

    JamiiForums Tanzania Urusi yaandika barua kulalamikia Latvia, Mwanachama wa NATO, hii ndio nguvu ya NATO

    Latvia ni kataifa kadogo sana jirani ya Urusi, ila mwanachama wa NATO, sasa Urusi imezoea kuparamia vitaifa majirani ila kwa wanachama wa NATO hukaa mbali au kuandika barua za kulalamika, kama ambavyo imefanya kwa Latvia, imelalamika lalamika hatua za Latvia kubomoa minara yoyote ya Urusi...
  13. MK254

    JamiiForums Tanzania Urusi: Mwana kayataka, Finland na Sweden wamekidhi vigezo vya NATO

    Urusi alijaribu kuparamia Ukraine kisa hakutaka wajiunge NATO, sasa ndio kama kafungulia lango kuu, maana Finland na Sweden sasa wameruhusiwa kujiunga NATO, wamekidhi vigezo, ifahamike Finland ina mpaka na Urusi wenye kilomita 1,271.8 km, hiyo ni zaidi ya umbali wa Dar hadi Kigoma au Dar hadi...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Pentagon yakiri droni za Iran ni "pasua kichwa" kwa Ukraine, USA🇺🇸 na NATO, hakuna 'kinetic interceptors' za kuzidungua!

    Pentagon yakiri kuwa droni zinazonasibishwa na Muajemi (Iran) zimekuwa "pasua kichwa" kwa Ukraine, US na NATO kwa ujumla. Afisa mwandamizi wa Pentagon amesema droni hizo zinachoma vibaya magarivita ya NATO yaliyopelekwa Ukraine (armored vehicles), mifumo ya ulizi wa anga, mikusanyiko ya...
  15. Shujaa Mwendazake

    JamiiForums Tanzania NATO wanavurugwa, Macron amuomba Papa kuwaweka Mezani Putin na Biden

    Wakati NATO wenzake wanataka vita iendelee, Rais wa Ufaransa anaonekana kutoamini kuwa wana uwezo wa kumaliza vita. Amemuomba Papa awaite warussi na USA wakae mezani kuyamaliza. Urusi n USA ndo walianzisha vita na ndiyo watamaliza. Siyo EU. Urusi siyo Zimbabwe Macron says he urged Pope to...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Mataifa takriban 30 ya NATO yanakwama wapi kummaliza Urusi? Wanabaki kulialia tu eti drones za Iran!

    Ukweli ni kwamba mataifa lukuki kwenye umoja wa NATO ambao wanaisaidia Ukraine kwa hali na mali wameshindwa vibaya! Kwanza waliweka vikwazo kwa maelfu na walitarajia Urusi itakwama fasta!! Maana walidhani vikwazo vyao ni sawa na kumfunga mikono wakati yuko vitani! Kinyume chake vikwazo...
  17. MK254

    JamiiForums Tanzania NATO waanza maandalizi ya vita vya nyuklia

    Mataifa ya NATO yaanza mafunzo na maandalizi ya jinsi watacheza iwapo vita vya nyuklia vitaibuka..... The 30-nation alliance has stressed that the "routine, recurring training activity", which runs until October 30, was planned before Moscow invaded Ukraine and is not linked to the current...
  18. Shujaa Nduna

    JamiiForums Tanzania Natoa wito kwa Serikali kufanya uchunguzi kwenye Makanisa

    Serikali ianzishe uchunguzi wa makanisa yote na madhehebu ili kubaini yale yenye ukwasi mzito kwa kuwarubuni waumini kupitia jina la Yesu wayafungiye au walipe mapato. Kama mmeweza kuruhusu makampuni ya michezo haramu ya kalyinda, crypto currency kwakuwa tu wamejisajili wakalipa ili wafanye...
  19. J

    JamiiForums Tanzania NATO to hold nuclear exercise despite Russian warnings

    BRUSSELS -- NATO will push ahead with long-planned nuclear exercises next week despite rising tensions over the war in Ukraine and President Vladimir Putin's insistence that he is not bluffing about using all available means to defend Russian territory, NATO Secretary-General Jens Stoltenberg...
  20. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Raia wa nchi za NATO waanza kukerwa na mfumuko wa bei

    MWAMBA The demonstrations were sparked by what protesters called economic “disruption” and “energy and health restrictions” Mass protests against NATO and EU hit Paris streets (VIDEOS) FILE PHOTO: Protesters march behind a banner 'Resistance' in Paris, France, on September 3, 2022. © AFP /...
Back
Top Bottom