nafasi za kazi

  1. Nafasi za kazi ya Udereva Grade II 340 - Mwisho tar 4 April, 2026!

    Natumaini kila mwenye sifa au ndugu mwenye sifa amfikishie taarifa. Nafasi 340+ ni nyingi sana. Probability ya kupata ni kubwa. Ajira Portal afanye Application
  2. Nafasi za kazi ya sales (Arusha)

    🚨 TANGAZO LA KAZI – SALES PERSON (2 POSTS) 🚨 Time Less International inatangaza nafasi za kazi za Sales Person kwa wahitaji wenye sifa zifuatazo: ✅ Awe na Degree au Diploma ✅ Awe smart na mwenye muonekano nadhifu ✅ Awe na uzoefu wa kazi za sales ✅ Awe tayari kuanza kazi tarehe 01/04 ✅ Msichana...
  3. A

    KERO Waombaji "Ajira Portal" tunakaa muda mrefu bila majibu, bora wasitangaze nafasi za kazi kama hawajajipanga

    Kero yangu sisi tunaoomba ajira kupitia Mfumo wa Ajira Portal, tunakaa muda mrefu bila kuitwa kwenye interview. Kwa mfano niliomba ajira Ajira Portal, Shirika la Posta since last year Mwaka 2025 mpaka leo Machi 2026 hakuna shortlist wala kujua lini tutafanya, the same to Mamlaka ya Viwanja vya...
  4. E

    Nafasi za kazi kwenye company ya microfinance

    Habar wanahitajika vijana 2 wa kufanya kazi katika company ya kukopesha hela wa kike 1 na wa kiume 1, umri wasizidi miaka 24 Kituo cha kazi ni Zanzibar (Pemba) Mshahara ni 170k kwe mwez na posho ya 5k kila siku. Sehem ya malazi kw watumishi ipo. Kwa mawasilano zaid njoo Dm
  5. Matajiri mbona hamtangazi nafasi za kazi?

    Heshima yenu Wakuu Niruke moja kwa moja kwenye mada Humu kuna maCEO, MaHR, watu wana mabiashara yao makubwa wengine wana maconnection mbona hamtangazi hizo nafasi wadau tuingie mzigoni? Mnaenda kutafuta wafanyakazi kwenye platforms nyingine za ovyo mnaacha kuchukua vijana machachari wa JF...
  6. Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Hello members Naomba kushare nafasi mbalimbali za kazi ninazokutana nazo huko mitandaoni, sihusiki directly ila naona wahitaji ni wengi na mnaoniulizia ni wengi pia. I hope hii itawasaidia wahitaji. Best Regards, Seran🖤
  7. Kwanini Taasisi za Serikali ambazo ni Autonomous hazitoi nafasi za kazi..?

    Baada ya kufuatilia vizuri nimegundua kuwa taasisi za Serikali ambazo zinaweza kujiendesha zenyewe bila kutegemea bajeti za Serikali (Autonomous Institutions) Huwa hazitoagi ajira ama mpya au kuhamia. Hivi hizi Taasisi huwa zina-replace vipi watumishi wanaostaafu au changamoto zingine...
  8. Internship Opportunities for Computer Programmers

    CLICK THIS LINK TO APPLY
  9. NAFASI ZA KAZI YAS - DIRECT SALES AGENTS

    Habari wakuu, Kama kichwa kinavyojielezea hapo juu, Ninahitaji vijana kwa ajili ya kufanya mauzo ya Ku Push products za Yas Business kama Vile Yas Routers, SME and Individual Bundles, Home Fiber, Mjasirianali Box, SME KINARA na zingine nyingi.. Zote hizi ni bidhaa za Yas Business Ajira hii...
  10. Nafasi za kazi Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

    TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
  11. Nafasi za kazi ulinzi

    Assalamualaikum Nafasi za kazi ya ulinzi na dereva dsm na dodoma Whatsapp nikupe vigezo na malipo 0614951696 natoa connection tu siitaji pesa
  12. Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma yatangaza nafasi za kazi 17,710

    Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya na MDAs & LGAs anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 17,710 kama ilivyoainishwa katika tangazo hili; Ili kuweza kutazama nafasi zilizotangazwa pitia
  13. Nafasi za Kazi: Digital Marketing Officers (Tourism & Hospitality Sector)

    Ninahitaji watu 5 pekee (wadada na wakaka) wenye uelewa na passion ya marketing (hasa digital marketing) ili kuendeleza sekta ya utalii na kuhakikisha wageni wanapatikana kila mwezi. 🔑 Muundo wa Kazi Kazi yako kuu ni marketing & client acquisition — kuhakikisha wageni wa kimataifa na wa ndani...
  14. Hizi nafasi za kazi za PAPU zinazopitia TCRA hazina infomation za kutosha rekebisheni

    https://www.tcra.go.tz/uploads/documents/sw-1757859650-PAPU_Vacancies_1032107643381814476641029946369102376331757853088906.pdf Angalia kiunga hapo juu kuhusu hizi nafazi za Pan African Postal Union (PAPU) zinaonekana kabisa ni mpunga mrefu maana ni P3 na P4, maombi inabidi yapitie TCRA, hata...
  15. Tangazo la maombi ya kazi Dar es salaam

    Natanguliza salamu. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 mwenyeji wa Dodoma, kwa sasa napatikana Tabata Dar es salaam. Natafuta kazi ya aina yoyote ile sibagui kazi. Elimu yangu ni shule ya msingi, nilikatisha elimu yangu kwa sababu ya changamoto za kimaisha zilizopo inje ya uwezo wangu...
  16. Yas Tanzania Announces 11 Vacancies in August 2025

    Yas Tanzania, a dynamic leader in the fintech industry, is driving innovation and financial inclusion across Tanzania. With a mission to empower communities through cutting-edge financial solutions, Yas Tanzania has established itself as a trusted name in the region. This August 2025, the...
  17. 7 KCB Bank Tanzania Jobs Announced – August 2025 Vacancies

    KCB Bank Tanzania Announces 7 Exciting Job Vacancies – August 2025 Introduction KCB Bank Tanzania, a key player in the financial services sector, continues to strengthen its workforce as part of its commitment to innovation, customer excellence, and sustainable growth. With a strong presence...
  18. Civil Engineer (KTE) at Taifa Gas August 2025

    Job Opportunity at Taifa Gas Taifa Gas is currently seeking qualified candidates for a Civil Engineer position at their Kigamboni, Dar es Salaam, Tanzania location. Below are the details for this exciting opportunity. Position Details Job Title: Civil Engineer (KTE) Working Station...
  19. Procurement Intern Opportunity at Frostan August 2025

    Procurement Intern Opportunity at Frostan Frostan is currently seeking a qualified candidate for a Procurement Intern position based in Iringa. Below are the details of the opportunity, including requirements, application instructions, and deadlines. Position Details Role: Procurement Intern...
  20. Mwenye connection ya kazi katika mashirika binafsi naomba anisaidie kupata kazi katika mashirika hayo

    Wakuu Mimi ni muhtimu wa kidato cha nne mwaka 2019 na ufaulu wa dalaja la pili alama 19,sikuendelea na shule kutokana na changamoto za kifedha. Wakuu,nipo chini ya miguu yenu kuwaomba kati katika mashirika binafsi tajwa hapo juu! Hata cheo tu cha chini kulingana na elimu yangu kinatosha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…