Tarehe 01 na tarehe 02 kulifanyika usaili wa wanataaluma Chuo Kikuu Mzumbe.
Kumekuwa na utaratibu usiowazi wa kuwapata vijana wanaojitolea, na hawa ndo wamekua wanufaika wa hizi ajira zinazotangazwa.
Baada ya malalamiko kwenye usaili wa 2023, wakaamua kuacha hata kuweka hadharani majina ya...
MODE OF APPLICATION
Application letters accompanied by a detailed Curriculum Vitae (CV) with a passport size
photograph and signed by the applicant; and copies of relevant certificates and transcripts should
reach the undersigned electronically through the Recruitment Portal, not later than two...
Mambo ntakayoyafanya nikìwa Rais wa Tanzania kwa Kuboresha mazingira ya vyuo na kua ya kisaaa kama ifuatayo
Kuhakikisha ndani ya campus za vyuo vya serikali barabara zote zinapigwa lami
Kuhakikisha ndani ya campus za vyuo vya serikali kunapigwa pavement hapawi na vumbi
Vyoo vinatoa maji 24/7...
Embu tuelelewesheni utofauti hapa kwanini hii Taasisi inaitwa Chuo kikuu Mzumbe na isiwe Chuo kikuu Cha Mzumbe.
Kama ilivyo kwa Chuo Kikuu Cha Dodoma, au Chuo Kikuu Cha Dar-Es-Salaam n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.