Ni wazi kuwa katika miaka ya hivi karibu mivutano baina ya Israel na Palestina imekuwa mikubwa huku watu wengi wakipoteza maisha katika mashambulio kadha wa kadha haswa ukanda wa Gaza.
Dj Khaled akiwa kama anafahamika kwa majina ya Khaled Mohammed Khaled ni mtoto wa wazazi waliokimbia Palestina...
1. Kuendelea Kuishi = Ushindi
Katika vita vinavyolenga kubadilisha utawala, kuendelea kuwepo madarakani ni ushindi.
Licha ya kushambuliwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran bado ipo madarakani.
Viongozi wa Iran (kama Kiongozi Mkuu na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi - IRGC) bado wapo kazini.
Hii...
Jamani tuendelee kuwaombea wenzetu mashariki ya kati watu wasio na hatia wanateseka.
vita sio vizuri, watoto wanateseka sana, naandika hapa machoz yananitoka. wakati nikiwa secondary nilisoma kazi moja wapo ya UNO, iliyo anzishwa mwaka 1945 nilikariri neno moja tu "To promote peace in the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.