ELIM
ELIMU YA SEKONDARI NDANI YA JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI
Ukubwa wa Jimbo letu:
Kata 21 zenye vijiji 68 na vitongoji 374
Idadi ya sekondari Jimboni mwetu:
+26 za Kata zinatoa elimu
+2 za Binafsi zinatoa elimu
+3 mpya zinajengwa kwa fedha za Serikali Kuu. Wanavijiji kuchangia nguvukazi
+3 mpya...
Tumeanza kupata usajili wa "High Schools za Masomo ya Sayansi:"
(i) Suguti Sekondari itakuwa na "High School" ya masomo ya: PCM, PCB, CBG na EGM
(ii) Mugango Sekondari itakuwa na "High School" ya masomo ya: CBG na EGM
Kila Sekondari iliyotajwa hapo juu ina maabara 3 za masomo ya sayansi...
Serikali imetoa fedha kwa Kata mbili (2) kujenga sekondari mpya za Kata hizo.
Kata hizo ni:
1. Nyamrandirira
Sekondari itajengwa Kijijini Kasoma
2. Bukima
Sekondari itajengwa Kijijini Butata
Serikali imetenga Tsh 584,280,000.000 (Tsh 584.28m) kwa ujenzi wa kila moja!
Ushauri...
VIJIJI VYA JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI VYAENDELEA KUSAMBAZIWA MAJI YA BOMBA KUTOKA ZIWA VICTORIA
Wiki hii imekuwa ya furaha tele kwa vijiji vya Mabuimerafuru (Kata ya Musanja) na Chumwi (Kata ya Nyamrandirira) kupata maji ya bomba ya kutoka Ziwa Victoria.
Tenki la ujazo wa lita 300,000 limejengwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.