mtendaji wa kata

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Idugunde

    Ziara Kihongosi inathibitisha kuwa CCM imekataliwa. Ni kama mtendaji wa kata anazunguka kusikikiza kero za wananchi

    Fuatilia kila anapopita na kusikiliza kero za watu. J Hakuna muitikio au msisimko kama kuna kiongozi mkuu wa chama tawala yupo kusililiza kero na kujua mapunngufu ya chama chake. CCM haikubaliki kwa sasa hii ndio picha kamili. Mwenezi wa CCM nae hakubaliki.
  2. The Burning Spear

    Mwigulu anaongea kama mtendaji wa kata hii Uranium ndo ya kugombaniwa na Marekani

    By Malisa: Kwa dunia Australia inaongoza kwa uranium deposit ya tani 3.6 milion. Kazakhstan inafuata kwa tani 2.9 milion. Kwa Afrika, Namibia inaongoza kwa tani milioni 1. Wote hao Uranium yao haimezewi mate. Sasa fanya kuswipe uone uranium inayomezewa mate na mabeberu Tanzania ni ya nafasi za...
  3. Wakusoma 12

    PostGE2025 Kwa Tanzania ya sasa mtendaji wa kata mwenye elimu ya cheti ama Stashahada ni mzigo kwenye maendeleo ya taifa

    Hawa ndio wanahujumu maendeleo, wengi wao ni bora liende. Hawana exposure, hawana confidence wala hawawezi kuchakakata data za maendeleo katika maeneo yao. Wanatumika kwenye wizi wa kura na kutetea wala rushwa. Huyu mtendaji mwenye cheti anaweza kwenda kwa Mkuu wa shule mwenye shahada ama...
  4. Roving Journalist

    Afisa Mtendaji wa Kata ya Lionja afikishwa Mahakamani kwa makosa ya rushwa

    Mnamo Septemba 18, 2025 katika mahakama ya wilaya ya Nachingwea limefunguliwa shauri la Uhujumu Uchumi namba 22689/2025 mbele ya Hakimu Mwandamizi Mkuu Mh.J.Mnguto, Jamhuri dhidi Seleman Ajibu Chimogo ambaye ni Afisa Mtendaji wa Kata ya Lionja Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea. Mshitakiwa...
  5. DuaZaMama

    Mtendaji wa kata Sumbawanga ahukumiwa miaka 60 jela kwa uhujumu uchumi

    Mahakama ya Wilaya ya Sumbawanga Mkoani Rukwa imemhukumu Bw. Badwin Atanazi Chundu (60), Mtendaji wa Kata ya Ikozi, kifungo cha miaka 60 jela pamoja na kurejesha zaidi ya Shilingi milioni 44 alizozitumia vibaya. Kwa mujibu wa taarifa ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa...
  6. Roving Journalist

    Mtendaji wa Kata ya Kainam Wilaya ya Mbulu Mkoa ya Manyara, ametiwa hatiani kwa kosa la uhujumu uchumi

    Tarehe 17/07/2025 Mahakama ya Wilaya ya Mbulu katika shauri la uhujumu uchumi (ECC. No. 13987/2025) imemtia hatiani mshtakiwa Mtendaji wa Kata ya Kainam Bw, ELIWANGU FADHILI MKUMBWA kwa kosa la ufujaji na ubadhilifu wa fedha za mradi wa Kituo cha Afya Kainam alizozitumia kwa manufaa yake...
  7. Mindyou

    Kisa Milioni 6, Mtendaji wa kata akutwa na kesi ya Uhujumu Uchumi na kifungo cha miaka 20 jela!

    Wakuu, Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi mkoani Songwe imemhukumu kifungo cha miaka 20 gerezani aliyekuwa Afisa Mtendaji wa Kata ya Mbuyuni baada ya kumkuta na hatia ya uhujumu uchumi. Afisa Mtendaji huyo, Assan Jacob anadaiwa kukusanya Shilingi milioni sita kutoka kwa wananchi 200 wa kata...
  8. Mtoa Taarifa

    Njombe: Watu 7 wakamatwa kwa kutishia kuwaua Mwenyekiti wa Mtaa, Katibu Kata wa CCM, Mtendaji Kata na Mtendaji wa Kijiji

    TAARIFA KWA UMMA. Jeshi la Polisi mkoa wa Njombe linapenda kutoa taarifa kwa umma kuwa linawashikilia watu saba kwa kosa la kutishia kuua kwa Maandishi huko katika kijiji cha Ngelenge Kata ya Luhuhu wilaya ya Ludewa Mkoa wa Njombe watu hawa saba walitenda kosa hilo tarehe 3.12.2024 kwa kubandika...
Back
Top Bottom