Wakuu,
Wanasema Media ni 'Watchdog' ikimaanisha ni muhimili unaojitegemea ikiwa na majukumu ya kulinda maslahi ya umma kwa kuvumbua mabaya na kuyasemea yale ambayo serikali inafanya.
Kwa kauli ya huyu mtangazaji ikifuatuwa na viitikio vya wenzake baaaas Media zetu zimejaa watangazaji uchwara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.