Habari jamani
Naomba muongozo wa kuuza vinywaji vikali kwa bei ya jumla mtaji wangu ni 20m wapi wanatoa mzigo na muongozo wa biashara kwa ujumla nami nianze biashara ningependa kupata mawazo yenu kwa wenye ufahamu
Amaa kweli kuwa uyaone...
Huu ndio mtaji wangu ambao utabadilisha maisha Yangu.
Hii ni elfu Saba za kitanzania
Nipeni mbinu za kukuza mtaji wangu wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.