Mtangazaji:"Kuhusu maridhiano, hapa nimesikia mwanzoni umezungumza unasema kwamba hakuna maridhiano mpaka wapatikane watu kutoka nje. Unaamini kwamba Tanzania haiwezi kufanya mambo yake bila kushirikisha watu wengine?"
John Heche: "Hivi vitu Farhia si vitu vinavyotokea kwa mara ya kwanza...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche amekemea vikali wimbi la utekaji na kupotea kwa watu nchini wakati akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika mji wa mpakani wa Sirari, wilayani Tarime mkoani Mara.
Akihutubia mamia ya wananchi waliofika...
Acheni mihemko na hisia za kijinga
Msimamo wa chadema uko wazi
Lisu aachiliwe ndo waamue kama watafanya mariandano au la
Ndo maana CCM wameng'ang'ania apewe masharti kabla ya kutoka chadema wamekataa
Na Kwa msimamo huo wa chadema unafanya lisu aendelee kubaki mahabusu Hadi pale ccm...
Mfano ni huyu kwenye YouTube audio video clip hii hapa
Chini ya video hiyo, kwenye comment section, mdau mmoja aka komenti hivi, nikaipenda comment yake na nikaamua kushea nanyi kwa ajili ya mjadala mpana
=============================================
"Taarifa yako ni potofu, unawapotosha...
Kuna wakati Mkapa alikuwa akiwaponda sana waandishi wa habari,kwamba hawako professional. Sasa unapochukua gazeti na ukasoma makala kama hizi utaona kwamba Mkapa alikuwa right kuhusu asilimia kubwa ya waandishi wetu wa habari.
Naweza nikasomaau kusikiliza taarifa za waandishi wa habari wa...
TAARIFA KWA UMMA
MSIMAMO WA CHADEMA KUHUSU UCHAGUZI BATILI WA 29 OKTOBA 2025 NA KILICHOJILI BAADA YA HAPO
1. Uchaguzi wa 29 Oktoba 2025 ni Batili, na Matokeo Yote Lazima Yafutwe
Uchaguzi mzima wa Rais, Ubunge na Udiwani ni batili na hauna uhalali wowote kwa sababu ulifanyika chini ya ukiukwaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.