msiba wa lukuvi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. curie

    Homiliya ya Padre kwenye msiba wa Lukuvi ni mwendelezo wa kutoa somo kwa watawala

    Usipotafakari juu ya kifo unaweza kuwatendea wenzio vyovyote utakavyo. Ukawateka, ukawaua, ukawazika kama mizoga, bila kujali maumivu yao wala hisia zao Kama vile utaishi milele. Lakini ukitafakari juu ya kifo, na ukajua kwamba siku moja utalala mauti, utawapenda wenzio, utawalinda...
  2. McLaren

    Mdogo wake Lukuvi: Familia ya Lukuvi tunaomba msamaha kwa wale wote aliowahi kuwakosea katika harakati zake za kisiasa

    Wakuu, Mossy Lukuvi, ambaye ni mdogo wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratıbu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani, William Lukuvi, amewaomba msamaha watu wote ambao wakati wa uhai wake kiongozi huyo aliwakosea na ameondoka bila kuwaomba msamaha...
  3. Roving Journalist

    Rais Samia: Lukuvi hakuwa mchoyo wa maarifa. Tulimhitaji kuliko wakati mwingine wowote

    Rais Samia kuwaongoza waombolezaji kuaga mwili wa William Lukuvi, Viwanja vya Karimjee, leo Machi 28, 2026. Hadi mauti yanamkuta Lukuvi alikuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani...
Back
Top Bottom