msela

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GE2025 Mgombea CHAUMMA adai yeye ni msela na mwaka huu ni mwaka wa masela kukaa Ikulu

    Salum Mwalimu ameonekana mahala akiomba masela wenzake wamchague ili msela mwenzao aingie ikulu na kutatua kero zao. Naona CHAUMMA sasa imegeuka kuwa vituko.
  2. Yupo busy mno kuchat na msela nafikiria kumtimua

    Kama title inavyojieleza Maskani naishi na binti wa 2005 yapata miezi 7 sasa ni ile sogea tukae Mwanzo tulikua vizuri furaha na upendo ulitawala, nilimpa huduma zote mtoto kanawiri Mwezi wa 6 nikaona binti yupo busy sana na simu kuchat hadi ufanisi wa baadhi ya mambo ulikua mbaya...
  3. Mimi Msela siwezi kwenda jela. Wimbo wa nani huu?

    Tulipokuwa tunakua huu wimbo ulikuwa maarufu saana. Ilikuwa ukianza kujifunza kuchana basi utaanza na hii mistari. Mimi msela siwezi kwenda jela Na nikienda jela narudi na Mihela.. Naruka tikitaka kulia na kushoto Na mademu wanitaka .... Wimbo wa nani huu?? Nautafuta
  4. “Msela” ni mtu wa aina gani?

    #PilikaPilika: Kwa tafsiri rahisi “Msela” ni mtu wa aina gani? #PilikaPilika #HainaKuchoka Msela ni mtu asiyejali chochote. Apate chakula anafurahi. Asikipate anafurahi. Aibiwe anacheka tu. Apigwe anauliza "hujamaliza niondoke?" Ukimpeleka jela anakuuliza "kumbe hata hapa wanakula?" Umtishie...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…