Mohamed Chande Othman (born 1 January 1952) is a Tanzanian lawyer and a former Chief Justice of the Judiciary of Tanzania.
Internationally he is highly respected for his deep understanding of political, legal and other dimensions relating to International Humanitarian Law, Refugee Law, Criminal Law and Evidence, and Peacekeeping. He held various positions as expert advisor and UN prosecutor at criminal tribunals such as the UNDP Cambodia, the East Timor (UNTAET), the International Criminal Tribunal for Rwanda (ICTR), UN Human Rights Council for a) the Israel-Lebanon Armed Conflict and b) the Southern Sudan.
Currently he is head of the UN Independent Panel of Experts that examine new information on Dag Hammarskjölds death.
Wakili Peter Madeleka amesema Jaji Shande anaeleza ukweli kuhusu madai ya jaribio la mapinduzi lililoratibiwa, kufadhiliwa na kutekelezwa, ingawa hakufafanua waliohusika moja kwa moja. Amesema kauli hizo zinaonyesha kuna mambo muhimu ambayo jamii bado haijayaelewa kikamilifu.
Madeleka amedai...
HOTUBA YA MHE. JAJI MKUU MSTAAFU MOHAMED CHANDE OTHMAN, MWENYEKITI WA TUME YA RAIS YA KUCHUNGUZA MATUKIO YA GHASIA NA UVUNJIFU WA AMANI YALIYOTOKEA WAKATI NA BAADA YA UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA, 2025, WAKATI WA KUWASILISHA RIPOTI YA TUME DAR ES SALAAM, TAREHE 23 APRILI 2026
·...
amani
chandechandeothman
ghasia
hotuba
jaji
jaji mkuu
jaji mkuu mstaafu
kuchunguza
matukio
mkuu
mohamedmohamedchandemohamedchandeothman
mstaafu
mwenyekiti
mwenyekiti wa tume
rais
tume
tume ya rais
uvunjifu wa amani
wakati
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinarejea msimamo wake wa awali wa tarehe 19 Novemba 2025 kutotambua mchakato mzima wa Tume iliyoundwa na Samia Suluhu Hassan, na kinapinga kwa ujumla wake ripoti iliyowasilishwa leo tarehe 23 April 2026 na Tume hiyo chini ya Jaji Mohamed Chande...
Mwenyekiti wa Tume, Jaji Mohamed Chande Othman, amesema ni maoni ya Tume kwamba ni muhimu Katiba Mpya ipatikane ifikapo mwaka 2028 ili iweze kutumika katika uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa mwaka 2029 pamoja na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2030.
"Maoni ya Tume kwamba ni muhimu Katiba Mpya ipatikane...
Mwenyekiti wa Tume, Jaji Mohamed Chande Othman, amesema Tume imewasilisha mapendekezo mbalimbali ya muda mfupi, wa kati na mrefu, huku akisisitiza kuwa hakuna pendekezo lolote linalopendekeza kuanzishwa kwa taasisi mpya.
Amesema "Tume inawasilisha mapendekezo mbalimbali yakiwemo ya muda mfupi...
Ustadi wa Jaji Chande katika Sheria ya Kibinadamu ya Kimataifa, Sheria ya Wakimbizi, Sheria ya Jinai na Sheria ya Ushahidi unamfanya kuwa kiongozi bora siyo tu duniani bali eneo lote la Afrika Mashariki wa uchunguzi wowote muhimu unaohusisha hasara ya maisha na uwajibikaji wa serikali. Hii...
Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa matukio ya vurugu za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Mohamed Chande Othman, amekanusha uvumi kuwa nyongeza ya muda wa Tume hiyo imelenga kuchakachua ripoti yake.
Akizungumza, Jaji Chande alisema sababu za kuomba kuongezewa muda wa siku 21 ni pamoja na ukubwa...
Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, Jaji Mohamed Chande Othman, amesema kuwa tume hiyo haiingiliwi katika maamuzi yake wala haina dalali yeyote katika utekelezaji wa shughuli zake, na kuwa tume hiyo ipo huru.
Jaji Chande ameyasema hayo leo, Aprili 08, 2026, alipokuwa...
-3th April ni ijumaa kuu unafamu ilo ?
-Whats the plan tupate ripoti yetu ?
-Inawezekana ripoti iwasilishwe
alhamisi, if yes, tupate report yetu mapema patience is killing me.
Isije kua dana dana tena kwa kisingizio cha sikukuu ..
Wakuu,
Mambo magumu huko😂🤣🤣, hesabu naona kama zile ya Yanga, hata na kalkuleta bado ngoma mbichiiiii!
Hivi kesi ya Lissu inaenda mpaka tarehe ngapi tena?🌚 Jamaa bado anagoma kuingia kwenye Maridhiano ya mchongo?
Maana za ndaaaaaaaaani zinasema Lissu ameshafuatwa gerezani zaidi ya mara moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.