mji mwema

Mjimwema is an administrative ward in the Kigamboni District of the Dar es Salaam Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 9,087.

View More On Wikipedia.org
  1. DodomaTZ

    Kijiji chote cha Mji Mwema - Siha kijiji chatoka kuwasha taa ya Dkt. Samia

    Kijiji cha Mji Mwema wilayani Siha kimewaka kwa hamasa baada ya wananchi kuwasha taa za Dkt. Samia mara baada ya kampeni za Mgombea Ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Godwin. Katika mkutano huo wa kampeni, Dkt. Godwin aliwaeleza wananchi kuhusu kazi kubwa na mafanikio...
  2. W

    GE2025 Mratibu wa shughuli za utawala Uplands FM achukua fomu udiwani Mji mwema

    Mratibu wa Shughuli za Utawala Uplands Fm Redio Ndugu Noby James Swalle amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Udiwani katika Kata ya Mji Mwema Halmashauri ya Mji Njombe, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM.) Ndugu Noby amekabidhiwa fomu mapema leo Jumamosi Juni 28, na Katibu wa CCM wa Kata ya Mji...
  3. Dalali wa Mjini

    Nauza kiwanja Kigamboni Mji Mwema

    Habari wakuu KIWANJA KINAUZWAA KIKO NDANI YA FENCE NI WEWE TU KUJENGA. HAKINA MGOGORO WOWOTE. KIGAMBONI MJI MWEMA. SQM 900+ KARIBU NA LAMI Bei Milion 50 Hati ipo Kibali cha ujenzi kipo 📱0754693556
  4. N

    Wakazi wa kigamboni naomba assistance nahitajiMaster rooom(single self) maeneo ya kibada, ungindonii au mji mwema

    Habarii great thinkers, Naomba assistance Kwa wakazi wa maeneo tajwa hapo juu. Natafuta room ya kupanga iwe na choo ndani(single self) mazingira yawe na usalama Nahitaji kuhamia harak sana. Yoyote mwenyej taarifa kindly assist me Natanguliza shukrani 🙏
  5. ommytk

    Wazo kwa manispaa ya Kigamboni; Anzisheni dampo katika mashimo yaliyofungwa yaliokiwa yanachimbwa kokoto Mji Mwema

    Nina wazo ila sijajua kuhusu watu wa mazingira kwao wataonaje hili jambo ila tu nawaza kile ambapo manispaa ya kigamboni mji mwema wanapogombana na wananchi kila mwaka na kupelekea kujua watu kwanini manispaa wasianzishe dampo ambapo watapata pesa na pia lile eneo litafukiwa na kupata eneo kama...
  6. Bexb

    Nahitaji nyumba ya kupanga Kigamboni Mji Mwema au jirani

    Habari ya asbuhi wakuu. Ninahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Kigamboni kuanzia Mji mwema kuja uelekeo wa Maweni, hadi kwa Mwingira. Ninahitaji iwe na vigezo vifuatavyo: 1. Vyumba viwili vya kulala ambapo kimoja kati ya hivyo kiwe self contained. 2. Kuwe na sebule 3. Public toilet ndani 4...
  7. Papa Mopao

    Mji Mwema ndani ya Kiwira Coal Mines

    Huu mji ulikuwa maarufu sana miaka ya zamani pale Kiwira Coal Mines, zamani hapo palikuwa na ukumbi japokuwa haikuwa ya kisasa, ulijengwa kwa kutumia makuti, disco zilikuwa zinapigwa sana mle ndani watu kama kawa walizicheza sana mpaka vumbi mwili mzima. Mji Mwema kulikuwa na makazi ya watu wa...
Back
Top Bottom