Mjimwema is an administrative ward in the Kigamboni District of the Dar es Salaam Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 9,087.
Kijiji cha Mji Mwema wilayani Siha kimewaka kwa hamasa baada ya wananchi kuwasha taa za Dkt. Samia mara baada ya kampeni za Mgombea Ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Godwin.
Katika mkutano huo wa kampeni, Dkt. Godwin aliwaeleza wananchi kuhusu kazi kubwa na mafanikio...
Mratibu wa Shughuli za Utawala Uplands Fm Redio Ndugu Noby James Swalle amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Udiwani katika Kata ya Mji Mwema Halmashauri ya Mji Njombe, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM.)
Ndugu Noby amekabidhiwa fomu mapema leo Jumamosi Juni 28, na Katibu wa CCM wa Kata ya Mji...
Habari wakuu
KIWANJA KINAUZWAA KIKO NDANI YA FENCE NI WEWE TU KUJENGA.
HAKINA MGOGORO WOWOTE.
KIGAMBONI MJI MWEMA.
SQM 900+
KARIBU NA LAMI
Bei Milion 50
Hati ipo
Kibali cha ujenzi kipo
📱0754693556
Habarii great thinkers,
Naomba assistance Kwa wakazi wa maeneo tajwa hapo juu. Natafuta room ya kupanga iwe na choo ndani(single self) mazingira yawe na usalama Nahitaji kuhamia harak sana. Yoyote mwenyej taarifa kindly assist me Natanguliza shukrani 🙏
Nina wazo ila sijajua kuhusu watu wa mazingira kwao wataonaje hili jambo ila tu nawaza kile ambapo manispaa ya kigamboni mji mwema wanapogombana na wananchi kila mwaka na kupelekea kujua watu kwanini manispaa wasianzishe dampo ambapo watapata pesa na pia lile eneo litafukiwa na kupata eneo kama...
Habari ya asbuhi wakuu. Ninahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Kigamboni kuanzia Mji mwema kuja uelekeo wa Maweni, hadi kwa Mwingira.
Ninahitaji iwe na vigezo vifuatavyo:
1. Vyumba viwili vya kulala ambapo kimoja kati ya hivyo kiwe self contained.
2. Kuwe na sebule
3. Public toilet ndani
4...
Huu mji ulikuwa maarufu sana miaka ya zamani pale Kiwira Coal Mines, zamani hapo palikuwa na ukumbi japokuwa haikuwa ya kisasa, ulijengwa kwa kutumia makuti, disco zilikuwa zinapigwa sana mle ndani watu kama kawa walizicheza sana mpaka vumbi mwili mzima.
Mji Mwema kulikuwa na makazi ya watu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.