miundombinu barabara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. 888I

    KERO Hali ya Miundombinu Barabara za Simanjiro

    1. Barabara Kuu: Arusha - Simanjiro - Kiteto - Kongwa Hii ni moja ya barabara ndefu zaidi nchini iliyobaki katika kiwango cha changarawe inayounganisha mikoa mitatu. Barabara hii, iliyo chini ya TANROADS, inapita Simanjiro kuelekea wilayani Kiteto. Kwa sasa, mvua zinazoendelea kunyesha zimeleta...
  2. P

    KERO Responded Mtaro mbele ya Shule ya Talantah International (Mbezi Beach) umeziba, njia zimechimbika kama handaki. TARURA hii ni zaidi ya kero

    Salaam Wakuu, Mbunge wa Mbezi Beach nimekuja tena mbele yenu na kero ya wananchi wangu🌚🌚 Kama mnavyoona kwenye video hapo hapo kuna gari imekwama imekwama asubuhi hii, hayo maji yametuama hapo sababu ya mtaro mbele ya shule ya shule hapo kuziba, kutokana na njia hiyo kuendelea kutumika magafi...
  3. A

    DOKEZO Kwanini Serikali iko kimya wakati uharibifu mkubwa wa Miundombinu ukiendelea na kuhatarisha Usalama wa Wananchi?

    Malori makubwa yanapita juu ya Flyovers jijini Dar na kuna hatari kubwa mambo mengi yakatokea ikiwepo uharibifu wa miundombinu husika iliyojengwa kwa kodi zetu wananchi lakini lolote linaweza kutokea na kupelekea hatari kwa maisha ya wananchi. Inasikitisha kuona Serikali na Mamlaka husika ziko...
  4. Nipe Maji

    Ujenzi wa miundombinu barabara yarahisisha usafiri kwa wananchi Mtumba

    Kata ya Mtumba yanufaika na ujenzi wa barabara pamoja na kalavati kwa gharama ya shilingi 73,000,000 kwa lengo la kurahisisha upatikanaji wa usafiri na usafirishaji katika eneo hilo. Hayo yalielezwa na Diwani wa Kata ya Mtumba, Edward Maboje alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari...
  5. kadeti

    Barabara za Kahama mjini haziendani na Kasi ya ukuaji wa mji

    Nimetembelea kahama Leo takribani siku ya Tano mfululizo mita Kwa mitaa naona jinsi biashara zilivyoshamiri, Kahama Kuna pool kubwa Sana ya walipa Kodi kiasi kwamba naona TRA kana kwamba hawawezi kuwafikia wote. Kwa ujumla mji wa Kahama umechangamka Sana kibiashara kila angle zote za mji, Kati...
  6. H

    Usijitoe, usiwekeze, jipe kipaumbrle mwenyewe

    Ukweli ni kwamba mwanamke unae-date naye kuna uwezekano mkubwa kajiweka tu kwako kwa sababu anahitaji pesa. Ni masikini, hana kazi(kama anayo kipato chake akitoshelezi lifestyle anayoitamani) na kwa sasa wewe ndie jibu la tatizo lake Atakapojipata ndio utajua ujui. Atakulaumu, atahoji hayo...
  7. A

    KERO Hali ya Barabara Kwa Fundi Baiskeli (Kigamboni) ni mbaya, mkandarasi kaingia mitini, mwezi wa 6 sasa

    Hali ya Barabara Kwa Fundi Baiskeli (Kigamboni) ni mbaya, huu ni mwezi wa 6 tangu Bango la Mkandarasi liwekwe na hakuna kinachoendelea JF tunaomba mtusaidie kupaza sauti kwa Serikali ya Kigamboni kuhusu changamoto ya barabara, kwa kweli ni mbovu sana hasa maeneo ya Kwa Fundi Baiskeli. Tangu...
  8. Mkalukungone Mwamba

    Hatimaye! Kipande cha barabara kutoka Boko bulumawe hadi boko magengeni cha tengenezwa

    Wakazi wa maeneo ya Bulumawe mtaa wa wa Dovya kata ya Bunju manispaa ya Kinondoni tulikuwa tunapata shida sana hususani kipindi cha mvua kutoka na ubovu wa barabara. Lakini sasa kipande cha barabara kutoka Bulumawe hadi Boko magengeni kimechatengenezwa kwa kiwango cha lami naweza sema lami ya...
Back
Top Bottom