mitsubishi

The Mitsubishi Group (三菱グループ, Mitsubishi Gurūpu, informally known as the Mitsubishi Keiretsu) is a group of autonomous Japanese multinational companies in a variety of industries.
Founded by Iwasaki Yatarō in 1870, the Mitsubishi Group historically descended from the Mitsubishi zaibatsu, a unified company which existed from 1870 to 1946. The company was disbanded during the occupation of Japan following World War II. The former constituents of the company continue to share the Mitsubishi brand and trademark. Although the group companies participate in limited business cooperation, most famously through monthly "Friday Conference" executive meetings, they are formally independent and are not under common control. The four main companies in the group are MUFG Bank (the largest bank in Japan), Mitsubishi Corporation (a general trading company), Mitsubishi Electric and Mitsubishi Heavy Industries (both being diversified manufacturing companies).

View More On Wikipedia.org
  1. Braza Kede

    JamiiForums Tanzania Gari gani ya mitsubishi ni nzuri kutembelea

    eti wakuu kwa hizi gari za familia za kutembelea ipi ni gari nzuri ya mitsubishi?
  2. chazi piere

    JamiiForums Tanzania Nauza gari mitsubishi canter D33 tiper

    Gari ipo kwala Bei M 13 For more details Contact 0578804442
  3. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania 🚨Yes Mwaka 1991 ndo Mitsubishi RVR anazaliwa huko Japan

    Ilipofika 2002 uzalishaji ukasimama wenyewe wanaita [production halt], Huu ni usimamishaji wa uzalishaji kutokana na kushuka kwa mauzo na kutopokea order mpya. Najua umejiuliza kwanini uzalishaji ulisimama, sababu Kwenye Biashara Kubwa mauzo yakianza kushuka na usipopokea order mpya [minimum...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mitsubishi outlander budget 28m ya seat 7

    Nataka kununua Mitsubishi outlander wadau naulizia fuel consuption yake lita1 inakwenda km Ngapi ..navip outlander kuanzia ya mwaka upi nichuke na yenye specification zipi ndio Bora zaid
  5. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania Najuta kununua 2009 Mitsubishi Pajero 3500Di-D: Auto

    Mwaka 2019 nilijichanganya kwenye 2009 Mitsubishi Pajero 3,500Di-DAuto, Petrol. Kitu inakunywa karibia 21 litres/100km (highway). Pesa mzozo bado nalipa deni la NMB. Gari haliuziki. NB: Kupenda 'show-off' kumenitokea puani.
  6. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Subaru Forester & Mitsubishi Outlander nichukue ipi?

    Wakuu nimeingia tamaa ya kubadilisha Xtrail kwenda 2009 Subaru Forester XS 2.5 au 2009 Outlander nichukue ipi?
  7. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Kama hauna mambo mengi, daka Mitsubishi i-MIEV electric car, hafu sahau gharama za mafuta!

    Wadau wa JF Garage. Kuna chuma, EV kutoka kampuni la Kijapan Mitsubishi inaenda kwa jina Mitsubishi i-MIEV (Mitsubishi innovative Electric Vehicle). Hii unaweza kuipata BEforward kwa bei kati ya Mil 5 hadi 6 na kuendelea, na kodi zake (kwenye calculators ya TRA haipo) nimeulizia ni Tsh Mil 3.5...
  8. long live my love

    JamiiForums Tanzania Msaada service ya mitsubishi Outlander 2007

    Wakuu habari,hongera na poleni na majukumu ya kutafuta ridhiki ya kila siku. Kufupisha habari ni kwamba nina hiyo gari ( Outlander 2007) na siijui vizuri kwakweli. Naomba msaada nataka nikafanye service kwa mara ya kwanza ya vitu vifuatavyo: 1. Engine oil 2. Oil ya gear box 3.Transimission oil...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Mitsubishi Pajero 3.2 LTRs kiboko ya mabishoo

    Hii chuma ni moto wa kuotea mbali. 1. Powerful, 2. High ground clearance, 3. 7-seater, 4. Reliable.
  10. WENYELE

    JamiiForums Tanzania Natafuta Duka la Spare orijino za Mitsubishi Pajero

    Wakuu ni wapi hapa Dar nitapa duka linalouza spare orijino za Mitusbishi? Km unafahamu nipatie mawasiliano wakuu
  11. Mpagama

    JamiiForums Tanzania Natafuta fundi wa Mitsubishi Outlander Dar es Salaam

    Wana jamvi nauliza garage au fundi mzuri wa Mitsubishi Outlander Dar es Salaam
  12. Magari ya Biashara

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Magari Makali Haya Hapa yanapatikana SHOWROOM kweetu. Ukiwa na pesa pungufu usijali gari utapewa tu

    TUNAPATIKANA UBUNGO STENDI YA ZAMANI YA MKOS MKABALA NA MIC HOTEL NJIA YA KUINGILIA NBC BANK MOROGORO ROAD MAWASILIANO 0711707070 AUDI A4 YEAR : 2013 Stock No: 23/000536 Engine Capacity: 1800CC Mileage:49,524KM TRANSMISSION: AT LEATHER SEAT PRICE:35,000,000/= (With Full Registration) TOYOTA...
  13. Magari Aina Zote

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Unatafuta gari zuri la kuagiza nje ya nchi? Pita hapa

    Kupitia uzi sasa unaweza kuagiza gari yoyote kutoka; Japan✔ UK✔ Singapore✔ Dubai✔ China✔ Thailand✔ Korea✔ n.k NB: Ukiagiza gari nasi tunakupa full package; yaani kuagiza, ku-clear bandarini na kusajili. Pia ukihitaji delivery popote ulipo tunakuletea. Tunapatikana Rita towers, ghorofa ya 11...
  14. CPA

    JamiiForums Tanzania Mitsubishi Outlander 2022, mnyama Mpya Sokoni

    Kati ya SUV kali aliyotoa Mitsubish hi hii mitsubishi outlander 2022 Mwaka 2016, Nissan-Renault Alliance walinunua share ya Mitsubishi kwa 34% wakiwa wamiliki wenye hisa kubwa kwenye Kampuni ya Mitsubishi. Nissan walinunua baada ya ile skendo kubwa ya fuel economy scandal, ambayo Kampuni ya...
  15. T

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu 1995 MITSUBISHI Pajero Y-V26WG BM530139

    Greetings wadau wangu, Please Naomba ushauri sahihi kuhusu gari tajwa hapo juu, Mimi ninahitaji gari SUV ya diesel ambayo Ina reliability ya Hali ya juu, durability ya Hali ya juu, stability ya Hali ya juu, comfortability ya Hali ya juuu barabarani, haitumiii umeme kabisa yaani old school...
  16. WA MAMNDENII

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Mitsubishi Canter inauzwa

    Condition: Used Eng Type : 4D33D YOM : 1993 Eng CC : 3660 Location : Mbezi Jogoo , Dsm Price: TZS 25M Contact : 0788 907760
  17. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania 🚨 Mitsubishi Outlander a.k.a Kenge kwenye msafara wa Mamba

    . Mitsubishi Outlander ni compact crossover [medium sized] SUV inayotengenezwa na kampuni ya kijapan ya Mitsubishi Motors, Mwanzoni ilikua inajulikana kama Mitsubishi Airtrek ilipokua introduced Japan mwaka 2001.. . Mpaka sasa Outlander ina generation 4, Generation ya 1 ikianza [2001-2005]...
  18. AUTOMASI COMPANY LIMITED

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Karibu automasi uagize nasi gari lenye ubora kwa gharama nafuu

    KARIBU AUTOMASI UAGIZE NASI GARI LENYE UBORA KWA GHARAMA NAFUU ************** ♻️ High Quality , Reliable, and Speed ♻️ *************** 🔅VEHICLE DESCRIPTION Make : TOYOTA Model ...
  19. Francis fares Maro

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Mitsubishi Delica

    Body nzima kabisa Picnic car Engine issues Petrol engine 3000 CC 2004 YOM Makumbusho Dar es salaam Nipe offer yako +255714908121
  20. B

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Mitsubishi Canter inauzwa

    TRUCK INA SIFA ZIFUATAZO Mwaka wa kutengenezwa 2001 Aina ya Injini 4D33 Uwezo wa Injini 4,210cc Mileage 307,021 Km Uwezo wa gari Tani 2 Manual transmission Nyeupe ACCESSORIES AC, Power Window, Power Steering Taili zote mpya, imelipiwa mapato, Bima pamoja na SUMATRA/LATRA Imenunuliwa Japan, July...
Back
Top Bottom