Shamba la mitiki LINAUZWA
Mteja ambae uko serious
Piga simu tuzungumze
0615636384
Miti iko 1700
Uwekezaji huu utakupatia Kila hekari million 300 Mimi nimeshindwa kuendeleza
Karibu umalizie palipo
Baki.
Shamba lipo Tanga Korogwe ni hekari 6 jumla ya miti ya mitiki ni 2100
Shamba linauzwa pamoja na miti yake kwa milioni 150
dalali ukileta mteja 10% ya kwako
Miti ina umri wa kuanzia miaka 9 mpaka 14
0615636384
0653172333
Shamba lipo Tanga Korogwe
ni hekari 6 jumla ya miti ya mitiki ni 2100
Shamba linauzwa pamoja na miti yake kwa milioni 150
dalali ukileta mteja 10% ya kwako
miti ina umri wa kuanzia miaka 9 mpaka 14
Habari za wakati huu ndugu zangu najua wengi mmesikia kuhusu kilimo cha miti ya mitiki hekari moja inaweza kukuingizia zaidi ya milion 300 kwa hekari moja kwa miti iliyokomaa.
sasa basi lipo shamba lenye hekari 6 lenye miti zaidi ya 1700
lililopo tanga korogwe lenye miti ya miaka 12 mpka 14...
Habari,
Shamba la miti (mitiki) LINAUZWA,
heka 14 na nusu
Miti: 4000 na zaidi yenye umri wa miaka 14
Bei: 500m miti elfu 4000 na kuendelea
Mahali: Tanga, Muheza kijiji cha kiwanda
Document: zina process manispa
Habari za usiku ndugu katika Jukwaa hili. Nimekuwa njia panda nikijaribu kufikiria kipi ni bora kukifanya kati ya hivyo viwili katika heading hapo.
Hebu tujaribu kupanuana mawazo katika hivi vitu viwili, ni kipi bora kukifanya kwanza kati ya kupanda miti ya miembe ya kisasa au kupanda miti ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.