mishahara ya wabunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    Indonesia: Serikali yakata 'marupurupu' ya wabunge kutuliza waandamanaji

    Rais wa Indonesia, Prabowo Subianto, ametangaza kupunguza mishahara na baadhi ya marupurupu kwa wanasiasa wa taifa hilo, ikiwemo wabunge, ili kutuliza maandamano yanayoendelea nchini humo. Hatua hiyo inakuja kutokana na maandamano ya wiki kadhaa katika taifa hilo la Kusini-Mashariki mwa Asia...
  2. Mindyou

    Video: Tujikumbushe Mbunge Maganga alivyokosa aibu na kutaka wabunge waongezewe mishahara na kuanza kulipwa kwa dola!

    Wakuu, Posho 620,000 kwa siku mshahara 18,000,000 still wanasema pesa ndogo na bado wanataka walipwe kwa dollars kweli alieshiba hamuoni mwenye njaa Wakienda majimboni hakuna Kazi wanayofanya miundombinu ni mibovu, ajira hakuna tozo na kodi kubwa kila siku tunagombana na kina mangi madukani...
  3. BLACK MOVEMENT

    Waislam Kenya watishia kuungana na Gen Z kuingia Barabarani endapo wabunge wa Kenya wataongezewa mishahara. Huku BAKWATA wanatuuzia uoga

    Bakwata wakati wanatuizia Uoga, kule Kenya Waslama wamesema endapo mpango wa kuwaongezea mishahara Wabunge utatekelezwa basi wataingia Barabarani. kwa kifupi wamechoka kuona raia wakiwa masikini ilihali Watawala hasa wabunge wakiendelea kuneemeka. Sasa kutana na BAKWATA ambao wao wanatuuzia...
  4. mwanamichakato

    Wabunge wanafanya nini kwa taifa kustahili mabilioni wanayopata?

    Nchi yetu bado ipo ktk bado ipo ktk hatua mbalimbali Za kutokomeza umaskini. Wafanyakazi,wafanya biashara,Wenye viwanda na wakulima ndio walipa kodi wakubwa licha ya tax base kuwa finyu. Kila mwaka lengo la bajeti si chini ya 35% ( Budget deficit) na hili ni Kwa sababu ya matumizi kuwa makubwa...
  5. Mindyou

    PreGE2025 John Heche: Mbunge analipwa Milioni 20 kwa mwezi na posho ya laki 6 kwa siku. Nchi hii inaibiwa sana!

    Wakuu, Akiwa anaongea siku ya leo, Heche ametaja kiwango ambacho mbunge analipwa kwa mwezi Heche anasema nchi hii inaibiwa na imedumaa Soma, Pia: Martin: Wabunge wanalipwa posho zaidi ya TSh. Milioni 86 kwa siku Bungeni Dodoma. Ama kweli Siasa ni Mchongo!
  6. Carlos The Jackal

    Serikali ianze kupunguza Mishahara ya viongozi wao, Wabunge, Baada ya USAID , Ulaya inafuata njia hiyohiyo

    Wazalendo wa Nchi hii Akina Job Ndugai waliwah kuuliza kwanini Tusijitegemee? Sasa Nchi hii Ina Kila kitu, hizo PhD za Uchumi, msizihamishie kulinda Matumbo yenu tu huku mzigo wote mkiuleta Kwa Wananchi. Mkatae ukweli, mrukeruke sana, mfumbe macho, ukweli ni kuà Hamna Nchi zaidi ya ( US)...
Back
Top Bottom