Katika kuongeza thamani ya zao la Korosho na ufuta hapa nchini serikali imesema katika msimu ujao wa uuzaji wa mazao hayo minada yake itafanyika kwa njia ya kieletroniki ambayo itaaanza mapema kabla ya minada kuanza.
Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma...