Kwenye uombaji wa mkopo kuna kipengele kipya cha kuweka National physical address (NaPA) hiki ni kipengele kipya kwa waombaji Mwaka 2025.
Tatizo kimetolewa bila maelekezo yoyote na Wadau wanaohusika na utoaji wa hizo reference number ambao ni Watendaji wa Vijiji na Mitaa hawajui chochote...
Anonymous
Thread
changamoto
elimu ya juu
heslb
kijiji
mikopochuokikuu
number
watendaji
Serikali ifute mikopo ya elimu ya juu kodi zetu ambazo hazirudi kwa sababu wahitimu hawapati ajira.
Badala yake hizo pesa iboreshe elimu ya Veta ichochee ubunifu nchini.
Ina maana gani kusomesha watu hadi chuo kikuu then wanakuja kufanya kazi zisizo hitaji vyeti mfano bodaboda ni matumizi...
Mbunge wa Iringa Mjini Madam Jesca Mtambasavangu bila kumung'unya maneno ameshutumu vikali tabia ya wanavyuo kutumia Fedha za Mkopo wa Kujikimu Boom kubeti badala ya kusoma na kutumia Kwa malengo yaliyokusudiwa.
Akiongea Bungeni Kwa Uchumi amewashangaa Vijana wanaodhani betting itawatoa...
bodi ya mikopo
boom kubeti
elimu chuokikuu
heslb
jesca mtambasavangu
kukopesha mkopo
kukopeshwa boom
mikopochuokikuumikopo elimu ya juu
mkopo elimu ya juu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.