Licha ya historia yake kongwe na mchango wake katika uchumi wa nchi ila bado miundominu yake Ina hali dunia?Unaweza kunieleza sababu ni Nini?
Kwa mfano hata mradi tu wa LNG Lindi hata tu maofisi Yao kujengwa bado je mradi upo?airport ya Lindi na Mtwara haijatanuliwa labda tu bandari ya uvuvi ya...
Japo wanasema maisha popote ila Kwa Mikoa hii ukienda kutafuta maisha basi tegemea kutoboka badala ya Kutoboa 😬😬
1.Kilimanjaro
2.Shinyanga
3.Simiyu
4.Kagera
5.Singida
6.Rukwa
7.Tabora
8.Dodoma
9.Lindi
10.Kigoma
My Take
Baadhi ya Mikoa Ina potential nzuri ni vile tuu haijafunguliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.