Habari wadau,
Nakuja kwenu kwa unyenyekevu mkubwa,
Mie natengeneza mifumo ya computer .Nimefanya kazi ya kutengeneza mifumo kwa karibu miaka 20 sasa.
Kwa mwenye uhitaji tuwasiliane.
Mifano michache:
Asset Management
Point of Sale
Contract and Case Management
HR management system
Garage...
1. phpBB
Unaweza kuweka mada kama unapproved, hidden, au private.
Watumiaji wa kawaida hawawezi kuiona hadi iwe approved na moderator.
Permissions hutumika kuzuia user groups fulani wasione baadhi ya mada.
2. Discourse
Inaruhusu mada kuwekwa kwenye private categories.
Unaweza kuficha post...
Moja kwa moja kwenye mada ambapo leo hii nimekusikia ukitoa tamko kwamba sasa TRA itaja na mfumo bora wa nyaraka wa kukusanya kodi kuanzia Julai 1, 2024.
Tatizo lililopo TRA ni upigaji ambapo maofisa wa TRA hujidamka mapema asubuhi kuwahi kusumbua wafanyabiashara na kugeuza usumbufu huo kuwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.