Mfumo wa kielimu hapa bongo aise bado tupo nyuma sana. Kuna baadhi ya vitu kwa tulipo Sasa tutaendelea kusikia tu kwa wenzetu.
Kuna video nimejaribu kuziona za wenzetu huko nje, wakionesha vifaa vya kivita. Kwa kweli sidhani kama kwa mfumo huu wa kuchora panzi, na kutafuta GPA vyuoni kama...