Hii chupa ya dripu ina nusu lita ya kimiminika aina ya ‘maji’. Lebo hapo inasema "0.9% w/v" Sodium Chloride (chumvi). Kwa kifupi, maana yake ni kwamba 99.1% ya hii chupa ni maji. Kwenye hii dripu ya 500 ml, kuna gram 4.5 ya chumvi. Kilichobaki 495ml ni maji.
Haya maji yamekuja kutoka India kwa...
Hapa ni Kigoma – Ujiji (Mjini), kijijini vipi?
Shule ya Msingi Rusimbi, iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji, inakabiliwa na changamoto kubwa ya upungufu wa madawati na uchakavu wa majengo na miundombinu, wanafunzi wengi wanalazimika kukaa chini wakati wa masomo.
Shule ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.