UKWELI UNAOOGOPWA: Miaka 5 Baada ya Kifo cha John Pombe Magufuli je, Taifa Linajidanganya?
Sehemu ya 2 na Mwisho.
Kuna ukweli ambao wengi wanauogopa,na kuna ukimya ambao umejengwa kwa makusudi.
Jana nliandika Makala niliyoipa kichwa "Kati ya Ukweli na Ukimya, Miaka Mitano tangu kifo cha John...
Bila aibu anasimama kiongozi mnafiki ambae anajua fika misingi na falsafa aliyoisimamia hayati Magufuli shujaa wa Afrika haifuatwi.
Eti Magufuli bado yupo mioyoni mwa Watanzania?
How ? Kwa kuruhusu ufisadi na upendeleo usio kuwa na tija kwa taifa letu?
Leo hii wananchi wananyanyasika kwenye...
KATI YA UKWELI NA UKIMYA,MIAKA MITANO (5) TANGU KIFO CHA John Pombe Joseph Magufuli
Magufuli, umelala ndio,Na sote tunajua hautoamka tena.
Lakini historia haifi pamoja na mtu bali inaishi,inauliza na inaandika.
Ni kweli hatutakusahau,sio kwa sababu ulifanya mema makubwa kiasi cha kufuta kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.