metacha mnata

Metacha Boniphace Mnata (born 25 November 1998) is a Tanzanian football player. He plays for Young Africans SC.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    Metacha Mnata kamaliza lini adhabu ya kadi Nyekundu?

    ufafanuzi tafadhali Leo hii Metacha anaanzishwa kwenye kikosi dhidi ya Namungo licha ya kwamba alipewa redcard mechi ya prisons, huku sio kukiuka sheria za mpira, au kulikuwa na msamaha?
  2. GENTAMYCINE

    Kwanini haya Matatizo ya Kinidhamu ya Kipa Metacha Mnata yanafanywa Siri? Kaharibu tena baada ya Kusamehewa

    Mwambieni GENTAMYCINE namshauri ili atulie Yanga SC na asiendelee kuwa na Matatizo ya Kinidhamu ndani ya Timu na kwa Viongozi aachane na huyo Mganga wa Kienyeji anayemsaidia ili Kumshusha Kipa Djigui Diarra na aaminiwe Yeye kwani Ndumba zake zote zinadunda kwa Raia wa Mali Kipa Diarra ambaye...
  3. Hussein Massanza

    Singida Big Stars tumemsajili Kipa wa Taifa, Metacha Mnata

    Watu wa Soka, Leo ninafurahi kuwajuza kuwa Mlinzi Imara kutoka Timu ya Taifa #TaifaStars asiye na presha na mechi ndogo wala kubwa, Metacha Mnata, ametuhakikishia kuwa lango letu litakuwa salama kupitia uzoefu wake. Tayari tumeinasa saini yake na atakuwa nasi kwa mkataba wa miaka miwili katika...
  4. LIKUD

    Ya Metacha na mke anaemfanyia jeuri mume wake wa ndoa

    Ukiona mke wako anakufanyia jeuri /kiburi Wala usifikiri anazuzuliwa na MTU maana... Kanakuwaga kajinga jinga Fulani hivi kasiko Na mbele Wala nyuma. Ukitaka ku prove ninacho kwambia, wewe ukiona analeta jeuri muache aende zake tafuta mwanamke mwingine Kazi iendelee. Metacha Kwa jeuri Na...
  5. M

    Meneja wa Kipa wa Yanga SC Metacha Mnata Mchambuzi Jemedari Said Unafiki Kwake mwiko japo ni mwana Yanga SC lia lia

    jemedarisaid ....imetimia misimu 4 kamili Yanga SC haina kikombe chochote cha maana..... Nami Krav Maga nasema wasipoangalia wanaweza hata Kukosa tena Vikombe vyote kwa miaka 15 ijayo.
  6. GENTAMYCINE

    Msemaji wa Yanga SC Hassan Bumbuli: Msamaha wa Metacha Mnata 'Mtandaoni' Klabu ya Yanga hatuutambui kabisa

    " Yaani ameacha Kutuandikia Barua kama Klabu ya Kutuomba Msamaha Yeye Kakimbilia Kuomba Msamaha Mtandaoni kana kwamba huko Mitandaoni ndiko Kumemuajiri Yeye. Naona ndiyo amezidi tu Kuharibu hivyo Sisi kama Klabu tutaendelea na Kikao chetu cha Nidhamu Kumjadili na kuja na Maamuzi juu yake "...
  7. Uzalendo wa Kitanzania

    Metacha Mnata asimamishwa kazi na klabu ya Yanga

    UONGOZI wa Klabu ya Yanga umemsimamisha kipa wake, Metacha Mnata kutokana na utovu wa nidhamu alioufanya kwa mashabiki baada ya mchezo wao dhidi ya Ruvu Shooting uliochezwa jana usiku katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Taarifa iliyotolewa na Klabu hiyo imesema kuwa, uongozi...
Back
Top Bottom