mbezi makabe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PreGE2025 Barabara ya Mbezi Makabe kwa Pesapesa kuwa mbovu kiasi hiki Mbunge, Diwani, Mkuu wa Mkoa na Wilaya wapo kweli?

    Barabara ya Mbezi Makabe ( Kwa Pesapesa) Jijini Dar es Salaam ina ubovu wa kiwancho cha juu sana Jiulize watoto wanaendaje shuleni, wafanyakazi wanaendaje kazini?. Mbunge wake akiwa bungeni utamsikia akisema anataka picha ya Rais Samia kwenye noti. BLADFAKENI kabisa! Fikiria Mkoa huu Una mkuu...
  2. Nyumba inauzwa,ipo mbezi makabe,njia panda ya msumi,bei ni milioni 350,maongezi yapo

    HOUSE FOR SALE; LOCATION: njia panda ya msumi mita400 kutoka lami nyumba inaitaji umaliziaji SQM: 730 Nyumba ina vyumba 6 master,3 PRICE: 350 negotiable UMILIKI: Hati Miliki. Ipo mwishoni Sitting room (2) Parking, Kitchen, Dining room (2) Public toilet nje, Public toilet ndani...
  3. N

    KERO Wanaotuuzia maji ya DAWASA Wakazi wa Mbezi Makabe hadi Msumi wakati hatuna huduma wao wanayapata wapi?

    Wakati Wananchi wenzetu wa maeneo mbalimbali wakilalamika adha ya kukosa huduma ya maji, huku kwetu Wakazi wa Mbezi Makabe hadi Msumi hali siyo nzuri na ni kama tumeshazoea hali hiyo. Tunapata adha ya kukosa maji japokuwa tuna mabomba ya DAWASA, Maji yanaweza yasitoke hata wiki tatu bila...
  4. Naomba kujuzwa shule nzuri ya english medium iliyopo karibu na Mbezi Makabe

    Habari wanajamvi, naomba kujuzwa shule nzuri yenye nafasi ya kuhamia ya english medium iliyopo karibu na mbezi makabe. Ninataka kuwahamishia watoto wangu wawili, darasa la nne mwakani na darasa la pili. pia mdogo wao anatarajia kuanza chekechea ya watoto. Iwe na matokeo mazuri na malezi...
  5. Nahitaji kiwanja, msaada tafadhali

    Habari nahitaji eneo dogo la ujenzi, maeneo ya makabe njia panda maeneo hayo hata kama unaingia kidogo siyo mbaya. Sihitaji dalali,budget Milion4 charp No yangu 06521326
  6. Inashangaza! Kwanini hakuna huduma ya maji ya bomba Mbezi Makabe?

    Katika vitu vimenishangaza ni hili, yaani Mbezi pamoja na umaarufu wote huu na kuwekewa hadi Stand Kuu ya mabasi ya kimataifa bado maji safi hayajafika. Ukizunguka nyuma kidogo ya stendi Mbezi Makabe hatua chache tu watu wanaishi kama vijijini ambako huduma za maji wanajuaga zipo tu mjini...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…