maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,142
- 15,130
Katika vitu vimenishangaza ni hili, yaani Mbezi pamoja na umaarufu wote huu na kuwekewa hadi Stand Kuu ya mabasi ya kimataifa bado maji safi hayajafika.
Ukizunguka nyuma kidogo ya stendi Mbezi Makabe hatua chache tu watu wanaishi kama vijijini ambako huduma za maji wanajuaga zipo tu mjini.
Cha ajabu zaidi nikionaga uzinduzi wa miradi ya maji vijijini najuaga mijini matatizo yalishaishaga aisee kumbe chenga tu, mbwembwe za kina Kitila Mkumbo miaka yote ya ukatibu mkuu kumbe hata kupeleka maji mbezi tu hapo walishindwa.
Nilishangazwa sana watu wanatumia maji chumvi ya visima miaka yote nikajua maji ya bomba yamekatika kumbe hata kufika hayajafika.
Seriously? Dar? Mbezi? Miaka yote hii? Kweli?
Mweh!
Ukizunguka nyuma kidogo ya stendi Mbezi Makabe hatua chache tu watu wanaishi kama vijijini ambako huduma za maji wanajuaga zipo tu mjini.
Cha ajabu zaidi nikionaga uzinduzi wa miradi ya maji vijijini najuaga mijini matatizo yalishaishaga aisee kumbe chenga tu, mbwembwe za kina Kitila Mkumbo miaka yote ya ukatibu mkuu kumbe hata kupeleka maji mbezi tu hapo walishindwa.
Nilishangazwa sana watu wanatumia maji chumvi ya visima miaka yote nikajua maji ya bomba yamekatika kumbe hata kufika hayajafika.
Seriously? Dar? Mbezi? Miaka yote hii? Kweli?
Mweh!