mazishi ya papa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The redemeer

    Kuondoka kwenye mapokeo: Mazishi ya Papa Francis yana ishara gani kwa kweli

    🕊️ #Mazishi ya PapaFrancis yanazua maswali mengi kuliko majibu. Kuondoka kwa mila ya karne nyingi ni kitendo cha makusudi na cha mfano. Lakini ni nini maana ya kweli nyuma yake? Je, ni unyenyekevu tu—au jambo la ndani zaidi? ⚔️ MWISHO WA ENZI: KUVUNJIKA NA MILA ZA Ufalme Kwa karne nyingi...
  2. and 998 others

    Marais A/Kusini, Namibia, Zambia Botswana hawakuhudhuria mazishi ya Papa Vatican. Tuna la kujifunza?

    1. Marais kadhaa wa wanachama wa SADC (Botswana, Zambia, Namibia , Afrika Kusini) wapo bize nchini mwao wakipambania wananchi wao wawe na maisha Bora. 2. Badala ya kwenda kuteketeza mamilioni kwa safari ambazo hata Balozi zao waliopo Rome wangeweza kuwakilisha.
  3. Ojuolegbha

    Dkt. Philip Isidori Mpango amewasili katika Viwanja vya Santa Pedro, Vatican

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isidori Mpango amewasili katika Viwanja vya Santa Pedro, Vatican tayari kwa kushiriki maadhimisho ya Misa ya Mazishi ya aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Baba Mtakatifu Francisko. Dkt. Mpango katika maadhimisho ya...
Back
Top Bottom