Hakuna mahala popote ambapo unaweza kujustify mauaji ya yaliyotokea! HAIWEZEKANI! Inamhitajji mtu mwenye Roho ngumu sana kutetea na kuona mauaji yaliyofanyika ni sahihi.
Haya si maandamano ya kwanza. Tumeona na kushuhudia maandamano mengi tu, ndani na nje ya nchi. Tumeona waandamanaji wakorofi...
TAARIFA KWA UMΜΑ
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Kimesikitishwa na matukio ya mauaji na uvunjifu wa haki za binadamu wakati na baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 29 Oktoba mwaka 2025.
Wakati Rais akiahidi maridhiano tunatoa wito wa kuundwa kwa Tume huru ya Kijaji kuchunguza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.