Katika kuhitimisha siku mia za uongozi wa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye alielekeze huduma za matibabu ziwafikie wananchi popote walipo, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dkt. Delilah Kimambo, ameendelea kuwa kiongozi wa mfano kwa kusimamia na kutekeleza maagizo hayo...
Mtoto Nicholaus Nkinga (9) ambaye changamoto yake ya matibabu ya mguu iliyomgusa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameanza rasmi kupata matibabu ya kibingwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) Jijini Dar es Salaam.
Mtoto huyo mwenye...
Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inashiriki katika kambi ya madaktari bingwa na wabobezi inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid mkoani Arusha.
Kambi hiyo imeanza rasmi leo Juni 23, 2025 na itafikia tamati tarehe 29, Juni 2025, ambapo Madaktari bingwa wa MOI wanatoa...
Salaam, mimi nilie mdogo kati yenu nawasalimu.
Kwanza kabisa napenda kutambua mchango mkubwa na matokeo chanya yatokanayo na kampeni ya huduma za kibingwa katika Hospitali za wilaya na baadhi ya Vituo vya Afya zinazoendelea nchini kote.
Mwezi May mwaka huu, kampeni hizo nadhani zimeanza awamu...
Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) kwa kushirikiana na Umoja wa Wanataaluma na Wajasiriamali wa Kanisa la Wa Adiventista Wasabato Tanzania (ATAPE) wametoa matibabu ya kibingwa na kibobezi bure katika kambi maalum kwa wakazi wa Mbagala Jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa...
📌 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Bukoba Vijijini Ndugu Fatina Hussein Laay awakaribisha wananchi wote. Kambi ya Siku 5 mfululizo yaanza leo Jumatatu Hospitali ya Wilaya- Bujunangoma kutoa huduma mbalimbali za Kibingwa Bobezi, Wananchi waitikia wito na wote mnakaribishwa.
Huduma za Kibingwa ambazo...
Tanzania imepiga hatua kubwa katika sekta ya afya, hususan katika huduma za matibabu ya kibingwa na ubingwa bobezi. Huduma hizi zinahusisha upasuaji wa moyo, upandikizaji figo, upandikizaji uroto, upandikizaji mimba, matibabu ya saratani kwa mionzi, na nyinginezo. Maendeleo haya yanachangiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.