matatizo ya akili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Shinyanga: Kijana mwenye matatizo ya akili auawa baada ya kuua watu wawili na kujeruhi kadhaa

    Vilio na simanzi vimetawala kwa wakazi wa Kolandoto mkoani Shinyanga, baada ya watu wawili kuuawa kwa kukatwakatwa na kitu chenye ncha kali na kijana anayesadikiwa kuwa na matatizo ya akili na kujeruhi watu watatu na kisha wananchi wenye hasira kali kumuua muuaji huyo.
Back
Top Bottom