mashua

Tropaeolum tuberosum (mashua, see below for other names) is a species of flowering plant in the family Tropaeolaceae, grown in the Andes, particularly in Peru and Bolivia, and to a lesser extent in Ecuador as well as in some areas of Colombia, for its edible tubers, which are eaten cooked or roasted as a vegetable. It is a minor food source, especially to native Amerindian populations. Mashua is a herbaceous perennial climber growing to 2–4 m (7–13 ft) in height. It is related to garden nasturtiums, and is occasionally cultivated as an ornamental for its brightly coloured tubular flowers.

View More On Wikipedia.org
  1. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania Mashindano ya Mashua ya Dragoni ya Kichina yakaribishwa duniani

    Siku hizi Wachina wanaoishi sehemu mbalimbali duniani wamefanya mashindano ya Mashua ya Dragoni ili kusherehekea Tamasha la kijadi la Mashua za Dragoni. Katika miaka ya hivi karibuni, mashindano hayo yamekaribishwa na watu wa nchi mbalimbali duniani. Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na...
  2. The Watchman

    JamiiForums Tanzania Watu watano wahajulikani walipo baada ya mashua kuzama wakisafiri kutoka Pemba kwenda Unguja

    Watu watano wahajulikani walipo baada ya mashua waliokuwa wakisafiria kutoka Pemba kuelekea Unguja, kupigwa na dhuruba na kisha kuzama. Wananchi katika eneo la Mwambe Wilaya ya Mkoani, Kisiwani Pemba wamekusanyika katika eneo la bandari, wakisubiri hatma ya wenzeo watano waliokuwa wanasafiri...
  3. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Nigeria: Watu 76 wafa maji baada ya mashua kuzama

    Maafa hayo yametokea katika Jimbo la Anambra katika boti iliyokuwa imebeba watu 85 kutoka Onukwu kuelekea Nkwo Ogbakuba. Watu hao walikuwa wanahama kutokana na ongezeko la maji maeneo yao yanayotokana na mafuriko ambayo pia inadaiwa yamechangia watu wengine watatu hawajulikani walipo katika...
  4. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Wakimbizi 17 wa Haiti wafariki baada ya mashua kuzama

    Wakimbizi 17 wa Haiti wamefariki Dunia baada ya mashua waliyokuwa wakiitumia kuzama kwenye maji huku wengine wengi wakiwa hawajulikani walipo. Walikuwa njiani kuelekea Miami Nchini Marekani kupitia Bahamas, sababu ya kukimbia Nchi yao zikitajwa kuwa ni umasikini na vurugu za wahalifu. Kikosi...
  5. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Watu 20 wa Ukoo mmoja wafariki kwa ajali ya Mashua Pakistan

    Miili 20 imeopolewa na na takriban watu 30 hawajulikani walipo baada ya mashua iliyokuwa imebeba zaidi ya watu 100 wa ukoo mmoja kupinduka kwenye mto katikati mwa Pakistan. Boti hiyo iliyojaa mizigo ilikuwa ikielekea katika harusi ya kifamilia ilipopinduka katika Mto Indus katika wilaya ya...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Yunnan: Jani moja ni kama mashua

    Victoria amazonica inayopandwa katika Bustani ya Mimea ya Kitropiki ya Xishuangbanna katika Akadamia ya Sayansi ya China imeingia katika kipindi bora cha kutazama maua yaliyochipuka, na kuvutia watalii wengi kutoka kote nchini kuangalia na kupiga picha
Back
Top Bottom