Wimbo wa maridhiano umekuwa ukisikika masikioni mwa Watanzania kabla na baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025. Hata hivyo, hadi sasa umebaki kuwa kitendawili kinachohitaji kuteguliwa.
Wapo walioimba wimbo huu kabla ya uchaguzi. Wanaharakati, baadhi ya viongozi wa dini na wanasiasa...
Kitendo cha watu kuchagua kiongozi wao ni jambo kubwa sana (Sacred). Ukiiba uchaguzi umepanda mbegu ya Uasi na mgawanyo ndani ya Taifa.
Siku si nyingi Watanzania mitaani watakuwa na Silaha, Watanganyika watachoma Bendera za Tanzania na kupandisha Bendera ya Tanganyika, wengine wataenda mbali...
Sheikh Mussa Kundecha akizungumza na Vyombo vya habari akiwasilisha Tamko la Jumuiya ya Taasisi za Kiislamu leo Novemba 20, 2025 amesema wanaunga mkono mchakato wa maridhiano ya kitaifa yaliyopendekezwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania n kuwa wapo tayari kama jumuiya kushiriki na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.