Leo #MariaSpaces tunajadili: Kuelekea Oktoba 29 - Tunatokaje?
Tunaona ukatili na utekaji usio na kifani nchini baada ya #OktobaTunatoka kushika kasi! Wanatuuzia woga! Sasa kama sababu tunayo, nia tunayo, uwezo tunayo - je tunatokaje?
Njoo tujadili saa 2 usiku leo!