marekebisho ya katiba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Guinea yafikia Mwisho wa Kampeni za Marekebisho ya Katiba, huku Upinzani Wakikosekana

    Septemba 18, 2025 mji mkuu wa Guinea, Conakry, ulijaa shughuli za kampeni huku wananchi wakijiandaa kupiga kura ya marekebisho ya katiba ambayo inaweza kumruhusu kiongozi wa mapinduzi Col. Mamadi Doumbouya kutafuta urais. Shughuli mbalimbali zikiwemo kusoma Quran, tamasha za reggae na sala...
  2. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Othman Masoud: Nikipewa Urais Zanzibar, Kipaumbele Kitakuwa Marekebisho ya Katiba

    Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema akipata ridhaa ya kuongoza dola, ataanza na marekebisho ya Katiba ili kuvifanya visiwa hivyo kuwa mikononi mwa Wazanzibari. Othman ameahidi Wazanzibari watakuwa na uhuru wa kuhoji kuhusu mwenendo wa uendeshaji...
  3. Allen Kilewella

    CCM marekebisho ya Katiba yenu muda mnao, Sheria za uchaguzi muda haitoshi

    Kama kurekebisha Katiba yenu jambo ambalo ni kubwa Sana ndani ya mwaka mmoja mmeweza kufanya mara mbili, kwa nini hamtaki kurekebisha baadhi ya vifungu vya Katiba Tanzania pamoja na Sheria za uchaguzi? CCM inaogopa uchaguzi huru na wa haki kuliko inavyoogopa kifo.
  4. E

    Kumbe hata muda wa kufanya marekebisho ya katiba ya Nchi upo

    Walafi wa mali za Nchi wanasema mara ooh! Muda wa kufanya marekebisho ya katiba ya nchi haupo !! Sasa kiko wapi!!! Mbona mmeitana kubadili vifungu vya katiba ccm ili kulinda maslahi yenu yanayotishiwa!? Mungu atawafunua kila hila yenu.
  5. P

    Wana CCM tutegemee nini marekebisho ya katiba ya chama?

    Kwa ufupi kabisa niseme: Ngoja tuone. Kumbe lolote linawezekana.
  6. M

    Marekebisho ya Katiba ni muhimu kabla ya Uchaguzi si kwa CCM,CHADEMA,ACT CHAUMMA Au chama chochote na wananchi kwa ujumla

    Hali iliyopo kuelekea uchaguzi wa 2025 si nzuri huo ndio ukweli tunaenda kwrnye uchaguzi tukiwa tumegawanyika kama TAIFA. Hii ni kutokana na hofu ya wananchi haki kutendeka katika uchaguzi huu. Nadhani uchaguzi wa serikali za Mitaa 2024 ndio umechagiza hofu hii tukubali tusikubali huo ndiyo...
  7. S

    Tanzania tunaanza kuwa na Makaburu weusi wasiovumilia lolote kuhusu marekebisho ya Katiba au haki za uchaguzi, wakiviona ni uvunjifu wa amani nchini!

    Imefikia mahali ambapo viongozi wa upinzani, viongozi wa kidini, taasisi za kijamii za ndani na nje, ofisi za ubalozi, watu binafsi mmoja mmoja au kama vikundi, nk, wakatamka jambo lolote kama mashauri au kukosoa kuhusu mustakabali wa uongozi nchini Tanzania wenye kuboresha haki, uongozi bira...
  8. Poppy Hatonn

    Katibu Mkuu wa CCM amesema CCM itafanya marekebisho ya Katiba yao.

    Ni marekebisho gani hayo.?
  9. milele amina

    Katiba ya CHADEMA inahitaji marekebisho ya haraka

    Katika kipindi hiki ambacho nchi inakabiliwa na changamoto mbalimbali za kisiasa, ni muhimu kwa vyama vya siasa kuangalia upya katiba zao ili kuhakikisha ufanisi na uendelevu wa shughuli zao. Katiba ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ina muundo mbovu ambao unahitaji marekebisho ya...
Back
Top Bottom