Leo Julai 7, 2025 ni Kilele cha Maonesho ya 49 ya Kitaifa ya Biashara maarufu kama "Saba Saba". Maonesho ambayo hutumika kuonesha shughuli mbalimbali za Kibiashara kutoka ndani na nje ya nchi
Kwa mara ya kwanza Maonesho ya Kibiashara yalifanyika mwaka 1963, yakiandaliwa na Wataalam kutoka...
Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi inaendelea kutoa huduma katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama Sabasaba yanayoendelea viwanja vya Mwl Nyerere jijini Dar es Salaam.
Katika maonesho hayo yaliyobeba kaulimbiu ya "Fahari ya Tanzania" Wizara ya Ardhi natoa baadhi ya...
==
Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) inatarajia kuanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa uboreshaji wa Uwanja wa Maonyesho wa Mwalimu Julius Nyerere, maarufu kama Viwanja vya Sabasaba kwa njia ya Ubia PPP.
Uwanja huo wa kisasa Ukanda Mzima wa Africa Mashariki unatarajiwa...
POSTA KUSHIRIKIANA NA TANTRADE KURAHISISHA USAFIRISHAJI WAKATI WA MAONESHO YA SABASABA
Shirika la Posta Tanzania (TPC) na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) wametiliana saini makubaliano ya ushirikiano wa kibiashara kwa ajili ya Maonesho ya 49 (SABASABA 2025), yatakayofanyika...
Maonesho haya zamani ilikuwa ni promotion za kufa mtu, yaani unaenda una saula unavyotaka, ila siku hizi Bei ya sabasaba, bora uende dukani tu.
Kiingilio kilikuwa affordable kwa kila mtu.
Sabasaba ilikuwa mtoko.
Chalamila ameyasema hayo katika ufunguzi wa maonesho ya biashara Dar Saba Saba ambako Rais Nyusi wa Msumbiji alikuwa mgeni rasmi;
"Sisi wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam kama ambavyo tunayo hamu wewe kuendelea kuwa mkazi wa Dar es Salaam, usiende tena kuishi mkoa mwingine. Nitumie nafasi hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.