mangekimambi

  1. Stuxnet

    Namna Mange Kimambi anavyoweza kuletwa nchini kujibu tuhuma zake

    Mtuhumiwa anaweza kurejeshwa Tanzania kutoka nje ya nchi kwa makosa makubwa kama uhujumu uchumi, rushwa, ugaidi, au mauaji endapo masharti ya kisheria yatatimia: 1. Extradition Act, Cap. 368 (Tanzania): Kosa lazima liwe la jinai pia katika nchi anakoishi mtuhumiwa (dual criminality). 2. First...
  2. Huihui2

    MangeKimambi, kinara wa maandamano ya Oktoba 29 huyu hapa

    Tanzania haina wajinga na watu wenye fikra fupi na wala hawatakaa wawepo. Kama kuna mtu anadhani anaweza kukaa ughaibuni huko na kuposti mtandaoni eti wenzake waingie mtaani siku na saa fulani kuandamana kisha yeye atumiwe klipu kuposti huku akiwa anapunga upepo na kunywa sharubati basi...
  3. Stuxnet

    SI KWELI Nyomi mikutano ya Samia Mbeya

    Ni wazi ukipita kwenye mitandao ya jamii hasa X, JF na FB unaweza kudhania Samia hapati hata kura 100. Lakini maisha kwa ground ni tofauti kabisa. Ni wakati sasa Mange Kimambi na Polepole wajitathmini. Watanzania hawadanganyiki, kazi ya Samia wanaiona. Njooni mniue
  4. Kimbesa11

    Polepole anacopy na kupaste mbinu za Mange Kimambi, muda si mrefu ataanzisha App ya kulipia

    Kwa siku za hivi karibuni tumeona polepole anafanya press Kama zile za mange kimambi kwa lengo la kupata kiki bila kuelewa kuwa Watanzania walishaashana na upotoshaji wa Mange kimambi zamani sana. Tanzania si sehemu ya kupotosha au kupiga UMBEA kwa habari zisizo na ushahidi, watu wameshaelemika...
  5. Stuxnet

    Zoezi la Mange Kimambi la Unfollow Wasanii: limewaongezea followers badala ya kuwapunguzia

    Zoezi lilianza June 3 2025. Hapa ninaleta summary ya kudikia leo 18/06/ 2025 kutoka mtandao wa www.hyperAuditor.com Mwambieni Mange Kimambi afanye yake, aachane na Watanzania. Maana badala ya kupunguza followers, hawa wasanii/ watu maarufu wote wameongeza idadi ya followers.
  6. kapuku94

    Hamisa Mobetto kumbe ilikuwa kiki ya wimbo mpya

    Akuna cha bwana mpya Wala nini . hamisa kawa weza mashilawadu wa tz. Kumbe alikuwa anatafuta attention ya nyimbo. Yule jamaa mcheza nondo ya kikapu katumika kama video visk .
Back
Top Bottom