makampuni ya betting

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Utitiri wa makampuni ya betting nchini - wakati nchi kama Indonesia kamari imenyimwa uhuru, huku kwetu tunazidi kupoteza vijana

    Waziri wa Viwanda hatusikii akienda kuzindua viwanda vya kujenga uchumi wa kweli anakwenda kufungua kampuni ya kucheza kamari kwa kigezo kwamba inachangia kodi ina maana mmekosa mbinu nyingine kabisa za kupata kodi mpaka muhalalishe kamari kwa namna hio. Sisemi kwamba kamari izuiwe kabisa...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Utapeli unaofanywa na kampuni za kubashiri (betting) hasa PARIMATCH

    Ninatoa ushuhuda wangu binafsi pamoja na wa watu wengine ninaowafaham yaan wanangu sana kuhusu vitendo vinavyofanywa na baadhi ya kampuni za ubashiri, hasa Parimatch Tanzania, ambavyo vinaonyesha wazi dalili za udanganyifu kwa wateja. Sisi ni waathirika wa moja kwa moja. Tumeshuhudia na kupitia...
  3. Braza Kede

    JamiiForums Tanzania Je, makampuni ya simu yanatuuza kwa makampuni ya betting? wanapata wapi namba zetu?

    Makampuni ya kubeti yanatuma meseji hadi imeshakuwa kero sasa. Mtu hata haujajisajili huduma yao yoyote lakini unashangaa unatumiwa mameseji tele ya mfululizo tena kila siku. Lakini cha kujiuliza ni je wanawezaje kupata namba ya simu ya mtu mmojammoja? Hapa jibu lenye mantiki ni moja tu...
Back
Top Bottom