makaburi ya kondo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Kaburi la Halaiki eneo la Kondo sasa liko Google Map, Mauaji huwa hayafichiki, Kama unajua eneo fulani, Ingia google map chap

    Google map wamekwisha update Picha zao za satellites Hizi ni picha mbili za eneo moja ndani ya miezi kadhaa, Picha ya upande wa kushoto ni ramani mpya. Hili eneo la chini ni eneo katika msitu wa Tazara. Kama uliwahikusikia sehmu kuna makaburi ya halaiki ukiingia google utaona disturbed soil...
  2. Genius Man

    D9 tutafukua makaburi ya kondo kujilidhisha taarifa ya CNN kama ni kweli tutamplekea Samia Ikulu

    #D9 tutafukua makaburi ya kondo kujilidhisha taarifa ya CNN kama ni kweli tutampelekea samia ikulu. #D9 ni wakati sahihi na tukiwa wengi sana kufukua pale kondo
  3. Waufukweni

    PostGE2025 Aliyekuwa amepewa kesi ya uhaini adai walitumika kubeba miili ya waliouawa kwenda kuwazika Makaburi ya Kondo

    Muna Love ame-share screenshot ya moja ya ndugu wa aliyekuwa amepewa kesi ya uhaini baada ya maandamano ya Oktoba 29 akidai kuwa walitumika kubeba miili ya waliuawa kwenda kuwazika kwenye makaburi ya pamoja huko Kondo ambako hata ripoti ya uchunguzi ya CNN ilieleza uwepo wa makaburi hayo. "Dada...
  4. Heparin

    PostGE2025 Nilitegemea Msigwa abebe waandishi kwenda Makaburi ya Kondo kuwaaibisha CNN kwa uongo, kaishia kutemea mate maiki bila ushahidi wowote

    Nilitegemea anayejiita Msemaji Mkuu wa Serikali na mtoa ufafanuzi mkuu Bwana Gerson Msigwa leo angebeba waandishi kwenda Makaburi ya Kondo kuwaaibisha CNN kwa uongo, kaishia kutemea mate maiki bila ushahidi wowote. Nilitegemea aseme sasa ndugu zangu, CNN si wamesema kuna makaburi ya halaiki...
  5. TODAYS

    Kondo Cemetery Nini Kinaendelea Huko?.

    Nimezoom kwa kutumia google map hainipi real on time action. Labda kuna kitu hapa Dodoma kinazuia ila kuna nyie mliopo Daresalama huko ununio mtupe taarifa kama zipo. Jana kuna jamaa alisema tumieni drones kuzoom matukio, vipi mmeshindwa?. Nasubiri kifuatacho.
  6. J

    Nina mashaka na wasomi wanaoajiriwa na Jeshi la Polisi

    Salut kwenu great thinkers wote wa JF. Kijana wenu napatwa na mashaka sana na Hawa wasomi wetu wanaoajiriwa na hiki chombo Cha ulinzi na usala wa raia na mali zao. Tukumbuke ya kwamba hili jeshi Lina wasomi wa taaluma MBALIMBALI na katika ngazi mbalimbali za kielimu. Hainiingii akilini kwa...
  7. Genius Man

    Tetesi: Ulinzi mkali wa polisi umewekwa kwenye makaburi ya kondo huku macho ya watanzania na dunia yapo pale

    Tetesi: Ulinzi mkali wa polisi umewekwa kwenye makaburi ya kondo huku macho ya watanzania na dunia yapo pale. Hakuna cha kuficha hata wakizima mitandao, Je, #D9 watanzania tutaenda kuyachimbua tukiona mambo hayaeleweki, sasa watachagua walinde ikulu au walinde makaburi.
Back
Top Bottom