Habari Wana jamvi..?
Kiukweli hali ya maisha Kwa sasa imekuwa tete sana tulitegemea mafuta yangeshuka mwezi June Ili ipatikane nafuu lakini wapii ! mafisadi yamegoma kushusha mafuta.
Ona mambo haya
1. Sehemu ya bodaboda ya elfu moja imekuwa elfu tatu
2. Vyakula vyote vimepanda bei Kwa 500...
Japo leo nimegonga ghorofa ya 3 net. ila naona mtaa siusomi kabisa na ni hali halisi pesa inayopatikana ni kulisha tumbo tu. Hata investments nazo anzisha ni pesa zinahitaji ili na zenyewe zilete pesa kama return on investments (ROI) ila dah
Najikaribisha mtaani kwa mara nyingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.