Unaweza kumkuta mtu kichaa anaoga, anapiga mswaki, anakula majalalani, analala popote nje kwenye mazingira machafu, lakini yupo fresh tu na hapati magonjwa. Jibu ni kwamba hajui kama kuna magonjwa, hivyo hana hofu.
Kiroho, kichaa ni mtu ambaye nafsi yake imechukuliwa.
Nafsi ni mwili wa ndani...