Kiungo wa Kimataifa wa Tanzania, Alphonce Mabula Msanga, mwenye umri wa miaka 23, amejiunga rasmi na klabu ya JS Kabylie ya Algeria.
Mabula, anayesifika kama kiungo mkabaji, amejiunga na klabu hiyo kwa uhamisho huru baada ya kumaliza mkataba wake na Şamaxı FK ya Azerbaijan.
JS Kabylie...