Hawa Maaskofu (ukimuondoa Alex) ni kama wameambizana ni mwendo spana za HAKI hadi unajiuliza nini kimetokea!
1. Askofu Pissa, Rais TEC, Askofu Lindi (Haki).
2. Askofu Mkuu Ruwa'ichi, Askofu Jimbo Kuu Dar es Salaam - Haki & Wazalendo uchwara.
3. Askofu Laizer, KKKT Morogoro, Haki & No Reforms...