lissu akamatwa mbinga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tlaatlaah

    Zile pesa alizochangisha Tundu Lissu kwenye kibakuli pale Mbinga nani aliondoka nazo na zilikuwa kiasi gani?

    Pale Songea baada ya hali ya kiuchmi kua ngumu kidogo kwa msafara wa chadema Songea, kama kawaida ya tabia yake ya kuomba omba, Tundu Lisu aliomba kuchangiwa pocket money kidogo na wananchi wa Songea, na kibakuli kikapitishwa na pesa zikachangwa na wananchi. Je, baada ya Lisu kukamatwa, ni nani...
  2. Mag3

    Habari za kukamatwa kwa Tundu Lissu zaenea duniani mithili ya moto wa nyika. Dunia yapigwa butwaa, kulikoni Tanzania!

    Tanzania's opposition leader Tundu Lissu arrested after rally | Africanews Tundu Lissu among Tanzania's top Chadema figures arrested in crackdown Tanzania clamps down on opposition rally, arrests leaders. tanzania-opposition-leader-tundu-lissu-arrested-at-rally-4996772 Tanzania arrests prominent...
  3. L

    PreGE2025 Kukamatwa Kwa Lissu Mbele Ya Wafuasi wake ni Ushahidi kuwa CHADEMA haina nguvu ya Umma na wala haiwezi kuzuia Uchaguzi kwa nguvu ya Umma

    Ndugu zangu Watanzania, Cheza na mtu Mwingine lakini usicheze na Mtanzania. Mtanzania hatakagi masihara linapokuja suala la uhai wake na usalama wa mwili wake. Hakuna mtanzania Mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza kukubali akahatarisha miguu yake na mwili wake kumpigania mtu au...
  4. M

    PreGE2025 Bila Polisi CCM wepesi kama karatasi

    Anachotendewa mheshimiwa Lissu ni ushahidi wa wazi kuwa CCM uwezo wake mdogo sana kisiasa, na bila mabavu ya polisi hawewezi kudumu kisiasa hata kwa mwaka mmoja!. Wamepigwa operesheni moja tu ya NO REFORMS NO ELECTION, wamekimbilia polisi. Hii ikuonyeshe kuwa hiki chama ni genge la watu wepesi...
  5. Roving Journalist

    PreGE2025 Boni Yai: Wakili wa chama ametolewa, tumeambiwa Afande Muliro ana mazungumzo ya siri na Tundu Lissu

    Mwanachama wa CHADEMA, Boniface Jacob (Boni Yai) akizungumza akiwa katika Kituo cha Polisi Central, Dar es Salaam ambapo amesema mwenyekiti wao Tundu Lissu amepeleka katika mazungumzi ya siri kati yake na Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro Pia, Soma: Mwanasheria wa...
  6. Waufukweni

    PreGE2025 John Heche atoa msimamo wa CHADEMA kukamatwa kwa Lissu, adai ni njama ya kuzuia harakati za 'No Reforms No Election'

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelaani vikali kile ilichokiita kukamatwa kwa Mwenyekiti wake Taifa, Tundu Lissu, kikieleza kuwa hatua hiyo ni matumizi makubwa ya nguvu na inalenga kuzuia harakati za kudai mageuzi ya kisiasa kupitia kampeni ya No Reforms No Election. Akizungumza...
  7. Waufukweni

    PreGE2025 Mbunge Aida Kenani aitaka Serikali kueleza sababu za kukamatwa kwa Tundu Lissu

    Akiwa Bungeni leo Aprili 10, 2025, Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Aida Kenani, amehoji hatua ya Serikali kumkamata mwanasiasa na Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, na kuitaka itoe maelezo ya kina kuhusu sababu za kukamatwa kwake.
  8. Waufukweni

    PreGE2025 Tundu Lissu asafirishwa kupelekwa Dar baada ya kukamatwa Mbinga

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu anayeshikiliwa na polisi mkoani Ruvuma yupo njiani kusafirishwa kwenda jijini Dar es Salaam. Lissu anayedaiwa kushikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma jana Jumatano Aprili 9, 2025 muda mchache...
  9. Cute Wife

    PreGE2025 Lissu amekamatwa huku Zay Lissa na Manara wametrend ghafla! Focus Watanzania, Focus!

    Wakuu, Wanatumia mbinu zile zile, kila jambo kubwa (lenye maana) likitokea lazima kizuke kitu, Makala alipotoa boko la kutishia usalama wa taifa na Ebola huku la Siglada likazuka, likapelekwa hadi muda wa ripoti ya CAG. Jana Lissu amekamatwa chaaaap saga la Manara na twiga wake likawa...
  10. Mshana Jr

    Hatimaye wameamua kumkamata

    Fukuto ni kubwa na linazidi kuwabana hewa! Hapatoshi wala hapatoshani... Hatimaye wameamua kumkamata.. Hii ni aibu kubwa Sana! Na ni kushindwa kubaya kabisa Walianza kwnye kinyang'anyiro cha kugombea uenyekiti wa chama.. Wakatumia kila aina ya mbinu chafu zikiwemo za matusi ya wazi, kejeli na...
  11. The Burning Spear

    CCM Mlisubiri Simba ashinde ili mmkamate Lissu. Hatutadanganyika

    CCM.wana strategy za kishamba sana. Wanajua leo.watu.wako.busy na simba sasa wanatumia.upenyo huo kumkamata lissu. Soma Pia: Polisi wamkamata Tundu Lissu akiwa Mbamba Bay Kwa kweli sisi hizo mbinu zenu za kwenda na propaganda tunazijua vizuri sana. Kauli ni.ile ile No reform No Election.
  12. Waufukweni

    PreGE2025 VIDEO: Sauti ya Tundu Lissu dakika chache kabla ya kukamatwa na Polisi

    Kutoka Mbinga eneo la mkutano ambapo Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antiphas Mughwai Lissu amekamatwa na Jeshi la Polisi Pia, Soma: Jeshi la Polisi limemkamata Tundu Lissu akiwa Mbamba Bay
  13. M

    PreGE2025 Polisi wapiga mabomu mkutano wa Lissu huko Mbinga

    Lissu amemaliza kuhutubia mkutano wa hadhara wa Mbinga leo akasema ashuke akachangiwe Hela na wananchi, wakati anashuka akakutana na OCD pale jukwaani akaambiwa anahitajika ofisi ya OCD Sasa hivi, LISSU akarudi jukwaani akasema yameanza, basi akasema sitokwenda kwa OCD nimechoka sana. Sasa...
Back
Top Bottom