Kufuatia kadhia ya kufuta mechi ya simba vs yanga madhara yake ni makubwa.
Tumeua ari ya wanamichezo
Kuna mashabiki hawataenda tena viwanjani
Kuna mashabiki wameamua kuachana kabisa na habari za mpira wa tanzania
Hatuwezi tena kupata wadhamini wa maana kwa ubabaishaji huu wa TFF & Co.
Kwa...