johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Kwa namna ninavyosikiliza hotuba za Rais Samia halafu tungekuwa na Spika asifungamana na siasa za kishabiki kama Zungu wa Ilala hakika uchumi ungepaa.
Mambo ya kila siku kuisema Chadema na Mbowe ambao hawako bungeni ni matumizi mabaya ya kodi zetu.
Nataka kujenga Umoja wa kitaifa by Rais Samia.
Kazi Iendelee!
Mambo ya kila siku kuisema Chadema na Mbowe ambao hawako bungeni ni matumizi mabaya ya kodi zetu.
Nataka kujenga Umoja wa kitaifa by Rais Samia.
Kazi Iendelee!