lebanon

Lebanon ( (listen), Arabic: لُبْنَان‎ lubnān, Lebanese Arabic pronunciation: [lɪbˈneːn]), officially known as the Lebanese Republic, is an Arabic speaking country in the Middle-East, located in Western Asia. It is bordered by Syria to the north and east and Israel to the south, while Cyprus lies just west of it across the Mediterranean Sea. Lebanon's location at the crossroads of the Mediterranean Basin and the Arabian hinterland has contributed to its rich history and shaped a cultural identity of religious diversity. Lebanon is home to roughly 6 million people and covers a territory of just 10,452 km2 (4,036 mi2), making it among the smallest countries in Asia by land area. Arabic speakers comprise the majority of the country's population, while Arabic is the official language, and spoken Lebanese Arabic is used alongside Modern Standard Arabic in daily life.
The earliest evidence of civilization in Lebanon dates back over seven thousand years, predating recorded history. Lebanon was home to the Phoenicians, a maritime culture that flourished for almost three thousand years (c. 3200–539 BC). In 64 BC, the Roman Empire conquered the region, and it eventually became among the empire's leading centers of Christianity. The Mount Lebanon range saw the emergence of a monastic tradition known as the Maronite Church. As the Arab Muslims conquered the region, the Maronites held onto their religion and identity. However, a new religious group, the Druze, established themselves in Mount Lebanon as well, generating a religious divide that has lasted for centuries. During the Crusades, the Maronites re-established contact with the Roman Catholic Church and asserted their communion with Rome.
Lebanon was conquered by the Ottomans in the 16th century and remained under their rule for the next 400 years. Following the empire's collapse after World War I, the five provinces constituting modern Lebanon came under the French Mandate. Upon independence in 1943, Lebanon established a unique confessionalist form of government, with the major religious sects apportioned specific political powers. Lebanon initially enjoyed political and economic stability, which was shattered by the bloody Lebanese Civil War (1975–1990) between various political and sectarian factions. The war partially led to military occupations by Syria (1975 to 2005) and Israel (1985 to 2000).
Despite Lebanon's small size, Lebanese culture is renowned both in the Arab world and globally, powered by its large and influential diaspora. Prior to the civil war, the country enjoyed a diversified economy that included tourism, agriculture, commerce, and banking. Its financial power and stability through the 1950s and 1960s earned Lebanon the name of "Switzerland of the East", while its capital, Beirut, attracted so many tourists that it was known as "the Paris of the Middle East". Since the end of the war, there have been extensive efforts to revive the economy and rebuild national infrastructure. While still recovering from the political and economic effects of the conflict, Lebanon remains a cosmopolitan and developing country, with among the highest levels of Human Development Index and GDP per capita in the Arab world outside of the oil-rich economies of the Persian Gulf.Lebanon was a founding member of the United Nations in 1945 and is a member of the Arab League (1945), the Non-Aligned Movement (1961), Organisation of the Islamic Cooperation (1969), and the Organisation internationale de la francophonie (1973).

View More On Wikipedia.org
  1. MK254

    Wananchi zaidi ya 100,000 wa Lebanon waikimbia nchi, waingia Sysria kama wakimbizi

    Magaidi ya waislamu, Hezbollah inasababisha shida kubwa sana kwa wananchi wa Lebanon, na mbaya zaidi haya magaidi sio raia wa nchi hiyo, ni majitu yametokea huko mbali yamejawa na mzuka wa kiislamu wa kuua watu. ============= More than 100,000 people have crossed into Syria from Lebanon since a...
  2. Obugwa Izoba

    Mzigo uko tayari! Ground invasion ndani ya Lebanon soo. Tunaenda kuona version two of Gaza

    Isarael any time soon anafanya ground invasion ndani ya Lebanon. Hapo Hezbollah ndo watajua hadithi za 2006 zilikuwa mtego ili wajisahau Photos: Israel deploys tanks near Lebanon border [Menahem Kahana/AFP][Menahem Kahana/AFP][Menahem Kahana/AFP]
  3. Nkobe

    Mpaka miaka ya 1960's Lebanon ilifahamika kama Paris ndogo ya Mashariki ya Kati

    Ukisoma historia ya Lebanon, hadi miaka ya 1960, ilikuwa nchi ya Wakristu. Kama ilivyo kawaida kwa jamii za Kikristu, Focus yao kubwa ilikuwa ni elimu, kusali na kufanya kazi kwa bidii, hii iliifanya Beirut kuitwa Paris ndogo. Kosa lililofanyika ni kuruhusu Wasiria na Wapalestina kuhamia na...
  4. MK254

    Makomando wa Israel huwa ndani ya Lebanon, tena ndani haswa

    Idadi kubwa ya makomando wa Israel huishi Lebanon ndani na hamna wasichokijua au kukifanya humo tena kimya kimya.....ndio hutoa taarifa za wapi pa kupiga, husaidia sana kwenye mapigo dhidi ya magaidi wa waislamu. ================= The New York Times says that Israel has worked since the...
  5. SSH2025_2030

    Tanzania Muslim & Youth Association (TAMSYA) toeni tamko yanayoendelea Lebanon

    Watukufu Viongozi wa TAMSYA, Assalam Aleikum. 1. Je hamuoni mashambulizi dhidi ya Lebanon, Hezbollah si haki na anaonewa? Mbona hamtoi tamko lolote? 2. Hizi Dhuluma zitakwisha lini? 3. Dunia inasubiri tamko lenu Wasomi.
  6. Robert Heriel Mtibeli

    Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Israel intelligence ijue Walipo viongozi wa Lebanon na Hammas lakini haijui Mateka walipo. Israel ni washenzi Sana.

    Habari za jioni! Kama kichwa kinavyoeleza, yaani ni mtu asiyefikiri sawasawa ambaye ataamini kuwa Israel hajui Mateka wake wapo wapi. Ninavyowaona Israel inajua kabisa Mateka walipo na haitaki kuwakomboa. Yaani wajue Viongozi wa Hezbollah na Hammas lakini Mateka anhaa! Hiyo vita hapo...
  7. PureView zeiss

    Jeshi la israel wafanikiwa kumiliki anga lote la lebanon hakuna ndege kutua bila idhini yao

    BREAKING: Ndege ya mizigo kutoka Iran inayotakiwa kutua katika uwanja wa ndege wa Beirut imegeuka baada ya Israel kufahamisha udhibiti wa usafiri wa anga katika uwanja huo kwamba Israel itaanzisha mashambulizi dhidi ya ndege hiyo iwapo ingetua Beirut. Israel haitaruhusu silaha za IRGC...
  8. HIMARS

    Israel yapiga marufuku ndege za kijeshi kutua Lebanon

    Katika hali isiyo ya kawaida, jeshi la Israel limeanza kufatilia na kutawala anga lote la Lebanon na kupiga marufuku ndege zote za kijeshi kutua Lebanon. Mamlaka ya Anga ya Lebanon imekubaliana na Israel na imefuata matakwa ya Israel. Israel imesema yeyote atayeleta ndege itazuiwa au...
  9. G

    Jeshi la Israel Limelipua makao makuu ya Hezbollah Beirut wakati Netanyahu anaendelea kutoa speech umoja wa mataifa

    Makao makuu ya Hezbollah mjini Beirut yamechakazwa vibaya kwa ndege za kivita za Israel na kuharibu eneo lote kabisa, shambulio Hilo lilimlenga kiongozi wa Hezbollah Hassan nasrallah ambaye haijulikani alipo mpaka sasa Hamas huko aliko anachekelea shoo anayokutana nayo mwenzake. Hezbollah...
  10. J

    Watanzania mlioko Lebanon rudini nyumbani tafadhali mko eneo hatari sana

    Chonde chonde Watanzania mlioko Lebanon rudini nyumbani tafadhali Ni Wazi Israel haitarudi nyuma hivyo twawasihi Wakati mataifa makubwa duniani yanaondoa Watu wao nanyi rudini nyumbani Ahsanteni sana. Soma Pia: Wimbi la pili la milipuko ya vifaa vya mawasiliano Lebanon laua 20 na kujeruhi 450
  11. Mlaleo

    Israel itasaidia Lebanon irudi kama zamani kuwa Phoenicians Christian Country Arabs must go back walikotoka wasumbufu

    07/07/2023 Christian Front in Lebanon rejects Iranian encroachment and calls for UN intervention BEIRUT — The Christian Front in Lebanon released a statement following a recent meeting addressing various issues and developments in the...
  12. ELI COHEN

    Iran imesababisha mauaji ya maelfu ya Wapalestina sasa hivi wamehamia Lebanon kuendeleza harakati zao za kitapeli.

    Ni mtoto labda ndio hajui kuwa hamas na hezbollah ni midori ya Iran. Iran atafanikisha lolote lile liendalo na utapeli wake hata kwa gharama ya damu ya watu wake wenyewe. Nini haswa madhumuni ya Iran, kufanikisha kupatikana haki kwa walebanon na wapalestina?????? Hapana madhumuni ya Iran...
  13. Webabu

    Muda huu Hizbullah yazichakaza airbases za Israel. China yasema ipo pamoja na Lebanon kujilinda

    Baada ya mashambulizi makubwa hapo jana yaliyofanywa Lebanon na jeshi La Israel kwenye maeneo IDF iliyosema ni zaidi ya 1300. Muda huu Hizbullah wanarusha mvua ya maroketi kuelekea vituo vya kijeshi vya Israel. Kwa mujibu wa matangazo hayo ya moja kwa moja makombora mawili kati ya hayo...
  14. Chachu Ombara

    Watoto 21 wuawa Lebanon katika mashambulio ya Israel huku idadi ya vifo ikifikia 274

    Mamlaka za Lebanon zimesasisha hivi punde kuwa idadi ya waliofariki kutokana na mashambulizi ya anga ya Israel leo imefikia watu takriban 274 sasa. 21 kati yao ni watoto, kulingana na wizara ya afya ya Lebanon. Watu wengine 1,024 wamejeruhiwa katika mashambulio hayo, wizara hiyo inaongeza...
  15. Beira Boy

    Hezbollah wanapigana kwa maslahi ya Nani? Mbona wanawaumiza raia wa Lebanon

    Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA Hawa Hezbollah hupigana kwa masilahi ya Nani Hamas hupigana kwa maslahi ya nchi yao ya Palestine na hawa Hezbollah kwa masilahi yapi na ya nani Mbona wanawaumiza walebanon Kwani Israel na Lebanon zina ugomvi Je, Hezbollah pale Lebanon ni akina nani je...
  16. Propofol o

    Israel yafanya shambulio baya nchini Lebanon na kuua zaidi ya 50, huku zaidi ya 300 wakijeruhiwa

    At least 50 people have been killed and more than 300 wounded by Israeli air strikes in Lebanon, the ministry of health said Monday. Also read >Wakazi wa Kusini mwa Lebanon wamepokea SMS zikiwataka kuhama kwenye nyumba zao Smoke billows over southern Lebanon following Israeli air attacks...
  17. U

    News alert baada ya Sabato kumalizika, Israel yaanzisha mashambulizi mapya muda huu yakilenga na kusambaratisha maeneo zaidi ya 180

    Wadau hamjamboni nyote? Myahudi hajapoa kama unadhani hivyo nikupe pole Mara tu baada ya Sabato ya kiyahudi kuisha IDF wamefanya mashambulizi mapya makali usiku huu yakilenga shabaha maeneo takribani 180 Taarifa kamili hapo chini New wave of strikes in Lebanon as Israel braces for potential...
  18. Webabu

    Ukiondoa ushabiki, basi shambulio la Israel la simu za mkononi nchini Lebanon ni shambulio lililofeli na la aibu sana

    Mashirika yote yaliyotajwa kuwa yalihusika na kutengeneza simu za mkononi za pagers na Walkie talkie zilizowaripukia watu nchini Lebanon wamekataa kuhusishwa na vifaa hivyo.Kila mmoja akitaja kuwa zilitengenezwa na mdau mwengine. Kikawaida Israel inapoona imepata mafanikio kwenye mashambulio...
  19. Scared

    Lebanon inaenda kufutwa kama Gaza

    Katika kitu ambacho wavaa kobazi wanakiogopa ni kuwatajia jina la hii nchi ya Israel mtoa roho aisee hii nchi inatembeza vichapo vya mbwa Koko Kwa Hawa wavaa magauni sio poa baada ya kuifuta Gaza huyu myahudi sio mtu mzuri aisee anataka kuifutilia mbali Lebanon maana sio Kwa kichapo hichi...
  20. U

    Israel yashambulia Lebanon kwa ndege za kivita na makombora. Maghala ya silaha na vituo vya kurushia roketi zaidi ya 100 zalipuliwa

    Wadau hamjamboni nyote? Israel imetekeleza mashambulizi makubwa ya anga kusini mwa Lebanon, ikibainisha kuwa ndege zake za kivita zimepiga zaidi ya roketi 100 za Hezbollah na maeneo mengine ya "kigaidi," ikiwa ni pamoja na ghala la silaha. Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limesema vizindua...
Back
Top Bottom